Admin

Waandamanaji wa Irani waliofungwa wanakabiliwa na hukumu ya kunyongwa ‘haraka’ – Global Issues

The Ujumbe Huru wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli (FFM) kuhusu Iranambayo iliundwa na Baraza mnamo 2022, ilisema ina wasiwasi mkubwa juu ya ulinzi wa wafungwa, pamoja na kuongezeka kwa ghasia zinazoendelea kuathiri Lebanon na Mataifa mengi ya Ghuba. Jopo la wataalam huru wa haki walitaja ripoti za kuaminika “kwamba wengi (wafungwa nchini Iran) wako katika…

Read More

Ushindani sokoni unavyoshusha bei, kuchochea ubunifu

Ni rahisi kuona kampuni kubwa zikishindana na kudhani lengo lao ni kuumizana. Lakini tukilitazama kwa jicho pana, ushindani wa kibiashara si vita ya kuangamiza bali ni nguvu inayowanufaisha wateja. Ukiwa na usimamizi mzuri, ushindani huwa kama fadhili iliyojificha unasukuma ubora juu, bei chini, na ubunifu mbele. Fikiria simu ya mkononi uliyonayo. Kila mwaka kampuni kubwa…

Read More

Rehema: Ujane si hukumu, napambana kutunza wanangu

Mbeya. Alfajiri ya Nonde jijini Mbeya, huanza kwa sauti ya mafuta yanayochemka kwenye karai jeusi. Mwanga hafifu wa jiko la mkaa humulika uso wa Rehema Mwanjonde (30) huku mikono yake ikichanganya unga kwa ustadi. Kabla ya jogoo kuwika mara ya pili, maandazi ya kwanza huwa tayari yameiva, ya moto, yenye harufu inayochochea hamu ya mteja…

Read More

Watanzania kunufaika mikopo ya nyumba bila dhamana

Dar es Salaam. Watanzania wenye kipato cha chini ambao awali walishindwa kupata mikopo ya nyumba kutokana na masharti magumu yaliyowekwa na taasisi za kifedha, sasa wanaweza kunufaika na suluhisho jipya la kifedha lililozinduliwa rasmi. Fursa hii imekuja kufuatia uzinduzi rasmi wa mpango wa Wholesale Housing Microfinance chini ya Kampuni ya Mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC)…

Read More

Tanzania inavyoweza kukabili ongezeko bei ya mafuta duniani

Februari 28, 2026, Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi yao kwa Iran, yaliyosababisha vifo vya kiongozi mkuu wa taifa hilo, Ayatollah Ali Khamenei, pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Iran. Baada ya mashambulizi hayo Iran ilianza kujibu ikilenga kambi za kijeshi za Marekani na Israel lakini pia maeneo ambayo mataifa hayo ya maslahi, Hivi sasa vita…

Read More