MAHAFALI YA 14 YA PSPTB YAFANA JIJINI DAR
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Jenifa Christian Omolo (kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Jacob Kibona (katikati) kwa kutambua mchango wake wakati wa Mahafali ya 14 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius…