TUME YA MADINI YA ONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI KWA VIJANA
……… Na Ester Maile, DODOMA TUME ya Madini kupitia Wizara ya Madini itaendelea kushirikiana na kundi la vijana katika kuhakikisha rasilimali iliyopo inawanufaisha ipasavyo pamoja na Taifa kwa ujumla ambapo dhamira ya dhati ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha rasilimali hiyo inawanufaisha Watanzania hususan vijana. Hayo yamesemwa leo Machi 16,2026 jijini Dodoma na…