Admin

Mafuriko ya Pakistan huacha vijiji vimekatwa wakati uharibifu wa monsoon unavyoendelea – maswala ya ulimwengu

Mawakala wa misaada wanaendelea kufanya kazi bila kuchoka kufikia maeneo magumu zaidi. Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa ya Kitaifa (NDMA) ilisema karibu watu 800 wamekufa tangu mwishoni mwa Juni – karibu mara tatu wakati wa kipindi kama hicho mwaka jana. Mkoa wa Khyber Pakhtunkhwa umekuwa mgumu sana, ambapo mafuriko na maporomoko ya ardhi yalitoka nyumba…

Read More

Vijana chuo kikuu wabuni mradi kujiajiri wakiingiza kipato Sh133 milioni

‎Iringa. Katika mazingira yenye ushindani wa ajira na changamoto za kiuchumi, kikundi cha Vijana wa Iringa kimeanzisha mradi wa kisasa wa usindikaji mvinyo chini ya kampuni LordFather inayoundwa na Kassim Mgambo, Irene Mdegipala, Lukelo Mallumbo, Naomi Fedrick na Marry Mallumbo. ‎Akizungumza na Mwananchi Digital Agosti 27, 2025, Katibu wa Kampuni ya Lord father, Kassim Mgambo…

Read More

Mahakama yaamuru aliyemwibia mwajiri wake arejeshwe nchini

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuamuru Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi Ilala, kuanza na kukamilisha uchunguzi wa malalamiko ya wizi yaliyowasilishwa ofisini kwake na Radhika Pankanj dhidi ya aliyekuwa mfanyakazi wake (Mukesh Menaria). Aidha, imeelekeza kuchukua hatua zote halali na zinazofaa ili kuwezesha uchunguzi huo na kuhakikisha Mukesh anarudi nchini…

Read More

Maeneo 168 yaathiriwa mabadiliko tabianchi Zanzibar

Unguja. Jumla ya maeneo 168 ya fukwe, makazi na miundombinu ya barabara yameathirika na mabadiliko ya tabianchi kisiwani hapa, kati ya hayo 25 Unguja na 143 kutoka Pemba.  Kutokana na athari  hizo, Serikali imeanzisha Mamlaka ya Mazingira yenye kitengo maalumu cha mabadiliko ya tabianchi chenye jukumu la kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za…

Read More

Ukweli kuhusu gesi kupoteza ladha ya chakula

Dar es Salaam. Katika jitihada za nchi kuachana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa, mjadala unaibuka mitaani kuhusu matumizi ya gesi ya kupikia na athari zake kwenye ladha ya vyakula. Wapo wanaodai kuwa vyakula vinavyopikwa kwa kutumia gesi ukiwamo wali, havina ladha ikilinganishwa na unaopikwa kwa kutumia kuni au mkaa. Lakini je,…

Read More

TANGANYIKA PACKERS CCM NI FULL HOUSE, SALUTE KWA DK. SAMIA

Said Mwishehe,Michuzi TV  NI maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwemo wanachama wa CCM,wakereketwa na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza katika Viwanja vya Tanganyika Packers kushuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za Chama hicho tawala. Katıka viwanja hivyo ambavyo uzinduzi huo wa kampeni za CCM zinafanyika, kuna mabango mengi yenye ujumbe …

Read More