SBL Na Wizara Ya Fedha Mambo Safi, Kuimarisha Ukuaji Uchumi Nchini
Naibu Waziri wa Fedha, Eng. Mshamu Ali Munde katika kikao na Uongozi Wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), imekutana na Naibu Waziri wa Fedha, Eng. Mshamu Ali Munde katika kikao kikubwa kilicholenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi. Lengo ni kudumisha uthabiti wa biashara na kuongeza…