Admin

Ada-Tadea yaja na ujenzi wa daraja Bagamoyo – Zanzibar

Dar es Salaam. Miundombinu ndiyo injini ya maendeleo na ukuaji wa uchumi wa taifa lolote. Nchi yenye barabara za kisasa, bandari bora, reli za kisasa na viwanja vya ndege vyenye viwango vya kimataifa pamoja na madaraja imara hujipatia fursa kubwa za maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Tanzania ikiwa na jiografia ya kipekee, utajiri wa maliasili…

Read More

Wasafirishaji abiria wafurahia neema ya kampeni za CCM

Dar es Salaam. Ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) unaofanyika leo Alhamisi Agosti 28, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, umegeuka fursa ya kiuchumi kwa wasafirishaji wa abiria wa ndani. Madereva wa daladala, bodaboda na bajaj wameelezea kufurahia neema ya kipato baada ya vyombo vyao vya usafiri kukodiwa…

Read More

VYAMA 17 VYAREJESHA FOMU ZA KUTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

 Na Mwandishi Wetu. VYAMA 17 vyama vilivyochukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kigamboni vimerejesha fomu hizo na tayari zimebandikwa ili ziweze kukaguliwa na kama kutakuwa na upungufu wagombea wanaweza kuwekewa pingamizi. Aidha, wagombea wote wameteuliwa kugombea nafasi hiyo kwa hatua ya kuanza kampeni, kama hakutakuwa na pingamizi kwa wagombea yeyote…

Read More

Bado Watatu – 11 | Mwanaspoti

“AFANDE kama ulivyosema alama za dole gumba ni zile zile za kwanza. Hii imethibitisha kwamba muuaji ni mtu yule yule,” Ibrahim akaniambia kabla sijakaa kwenye kiti. Nilipokaa nikamuuliza: “Na zile alama za marehemu mmeshazichunguza?” “Tumezichunguza kujua kama ni mtu ambaye tuna rekodi naye lakini tumepata matokeo ya kushangaza kama yale tuliyoyapata mwanzo ndio maana nimekuita.”…

Read More

Kambi ya Misri Fadlu aja na jipya

SIMBA jana ilicheza mechi ya mwisho ya kirafiki ikiwa kambini Misri, lakini kuna taarifa ya kushtusha baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids kuwaambia mabosi wa klabu hiyo kwamba anahitaji mashine nyingine mpya ya kufungia usajili wa kikosi hicho. Simba imeshasajili wachezaji kama 10 hadi sasa wakiwamo sita wa kigeni, lakini kocha Fadlu…

Read More

Tshabalala achukua namba ya mtu

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano, huku ikielezwa nahodha wa zamani wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ aliyetua klabuni hapo kwa kishindo amempora mtu namba mapema. Tshabalala ni kati ya wachezaji watano wa Yanga waliokuwa katika timu ya taifa iliyokuwa ikishiriki Fainali za CHAN 2024 ambao walipewa mapumziko…

Read More

Marcio: Mambo yameiva KMC | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema kikosi chake kiko fiti kwa asilimia kubwa na kinachoendelea ni kutengeneza mbinu zitakazokipa matokeo mazuri mapema mwezi ujao ligi itakapoanza. KMC imerejea kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuweka kambi ya wiki mbili  Zanzibar huku kocha huyo akidai kuwa maandalizi kwa ujumla yanakwenda vizuri na anaridhishwa na uwezo…

Read More