Wanawake wa TPSC Watoa Misaada Gereza la Segerea Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dar es Salam wametembelea Gereza la Segerea na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa, ikiwa ni sehemu ya kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8. Ziara hiyo pia imekuwa muendelezo wa maadhimisho ya miaka 25 ya chuo hicho, ambapo taasisi imekuwa ikitekeleza…