
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 28, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Mahakama ya Mwanzo jijini Lagos, Nigeria, imemhukumu mwanamke anayefahamika kwa jina la Jennifer kulipa faini ya ₦450,000 (sawa na zaidi ya Shilingi 730,000 za Kitanzania), baada ya kupatikana na hatia ya kupokea fedha kwa udanganyifu. Kwa mujibu wa kumbukumbu za Mahakama, Jennifer alipokea ₦30,000 (takribani Shilingi 490,000 za Kitanzania) kutoka kwa kijana aitwaye Emmanuel, aliyedai…
Last updated Aug 28, 2025 Chama cha ACT Wazalendo kimepinga vikali hatua ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumzuia mgombea wao wa Urais, Luhaga Joelson Mpina, kurejesha fomu za uteuzi, kikieleza kuwa maamuzi hayo kuwa si tu ya aibu, bali yanaibua maswali mengi juu ya Uadilifu, Umakini, weledi na…
Last updated Aug 28, 2025 Mshambuliaji Clement Mzize wa Yanga SC ameboreshewa mkataba wake ambapo mshahara wake inatajwa itakuwa ni milioni 40 kwa mwezi akiwa mchezaji mzawa namba mbili kukunja mshahara mrefu. Namba moja ni Feisal Salum wa Azam FC ambaye inaelezwa kuwa anakunja milioni 50 kwa mwezi.Agosti 27 2025 Yanga…
Iliyofunuliwa Jumatano, inaunda fursa mpya za kazi, elimu na kuungana tena kwa familia, wakati wa kuimarisha utawala wa uhamiaji na kuweka uhamiaji katika moyo wa utulivu na maendeleo ya uchumi. Inaongozwa na Wizara ya Iraqi ya Uhamiaji na Waliohamishwa, kwa msaada wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) na Serikali ya Uholanzi – kutafsiri ahadi…
Kibamba, Agosti 27, 2025 – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Mhe. Kairuki aliwasili katika ofisi za INEC akiambatana na mgombea ubunge…
Last updated Aug 27, 2025 MTU mwenye mawazo, ni yule ambaye muda wote anayatazama mambo kwa ubaya, analalamika, analaumu wengine, anapenda kuwashambulia wengine kwa kauli za kuudhi na zisizo za kiungwana na muda wote anaamini kwamba yeye hakosei. Mtu wa namna hii, mara nyingi huwapa wakati mgumu sana watu wanaomzunguka na mara nyingi hawezi…
Katika tahadhari ya mkondoni, shirika la UN lilisema kwamba magonjwa na njaa yataongezeka tu, isipokuwa vizuizi vyote vya Israeli vya kusaidia utoaji kwa kiwango viondolewe na ufikiaji unaruhusiwa kwenye strip. Ofisi ya uratibu wa misaada ya UN, Ochaimethibitishwa Jumatano kuwa misaada fulani inaruhusiwa kuingia kwenye enclave kila siku, lakini ni kidogo sana kukidhi kiwango kikubwa…
Kama wanachama wa Baraza la Usalama la UN wanajadili upya wa Kikosi cha Kulinda Amani cha UN huko Lebanon (UNIFIL) Mbele ya tarehe ya mwisho ya Agosti 31, jukumu la baadaye la misheni na uwezo uko chini ya mjadala mkubwa. UNIFIL kwa muda mrefu imekuwa uwepo wa utulivu kusini mwa Lebanon, ikifanya kazi kando na…