Admin

REA YAENDELEA KUWAUNGANISHIA UMEME WANANCHI MKOANI MANYARA

::::::;; Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kutekeleza miradi ya nishati kwa kuunganisha wateja umeme katika maeneo ya vijijini ili kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi mkoani Manyara. Hayo yamebaibishwa leo Agosti 27, 2025 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu,…

Read More

Baltasar Engonga ahukumiwa minane jela

Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…

Read More

Baltasar Engonga ahukumia minane jela

Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More

WMU YAJIIMARISHA KATIKA TATHMINI NA UFUATILIAJI.

…………… Na Sixmund Begashe -Dodoma  Wizara ya Maliasili na Utalii (WMU) kupitia Kitengo  cha Ufuatiliaji na Tathmini, imewakutanisha wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka idara, vitengo na  taasisi zake kwa lengo la kujadili na kujipanga katika kutekeleza shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini wa Sera, Mipango, Mpango Mkakati, Ilani ya Uchaguzi (2025), miradi na programu mbalimbali…

Read More