Admin

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua, kuiba bodaboda

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, iliyokaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu dereva bodaboda, Ibrahim Othman maarufu kama Boban, kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia. Othman, anadaiwa kumuua dereva bodababoda mwenzake, aitwaye Mahmud Peya, tukio analodaiwa kulitenda Februari 4, 2023, Mbagala Kuu njia…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUIBORESHA ELIMU YA WATU WAZIMA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa Serikali itaendelea kuiboresha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) ili kuwezesha Watanzania walio nje ya mfumo rasmi wa elimu kupata fursa ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya TEWW, Prof. Mkenda alisema Serikali inajivunia mafanikio…

Read More

Dk Mpango aipongeza CRDB kuwezesha wananchi kiuchumi

Buhigwe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk Philip   Mpango, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha huduma za kifedha nchini, hatua inayowezesha wananchi wengi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi. Akizindua rasmi tawi jipya la benki hiyo leo Agosti 27,2025 wilayani Buhigwe, Dk Mpango amesema hatua ya benki…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NCHINI

▪️Awataka wazingatie maadili, wadumishe uadilifu na kulinda usiri wa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri wa taarifa zote zinazohifadhiwa kwani taarifa hizo ni nyenzo muhimu ya usalama wa Taifa na maendeleo ya nchi. Amesema kuwa Chama Cha Menejimenti ya Kumbukumbu…

Read More