Viwanda Mkoani Pwani Vyatakiwa Kuboresha Mazingira ya Kazi
Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo, ameziagiza menejimenti za viwanda Mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuwa na uzalishaji endelevu na wenye tija. Ametoa agizo hilo katika ziara yake ya kufuatilia utekelezaji wa sheria mbalimbali…