
HAMIS MGEJA AVUNJA UKIMYA BAADA YA KUFUTWA KESI KUPINGA UTEUZI WA DK.SAMIA
*Aridhishwa na uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kesi hiyo,imetenda haki *Ataka iwe fundisho kwa wengine wote wanaotaka kuibua mtafaruku kikatiba *Mtaja Polepole na kundi lake kuheshimu katiba na kanuni zilizowekwa na chama Na Mwandishi wetu,Shinyanga SIKU chache baada ya Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma kuifuta kesi ya Kikatiba ya Kupinga uteuzi wa Dkt. Samia Suluhu…