Admin

Mafunzo yafyeka benchi lote Zenji

BAADA ya kushindwa kuiongoza Mafunzo kufikia malengo iliyokusudia msimu uliopita uongozi umeachana na makocha wake wawili – kocha mkuu, Sheha Khamis na msaidizi wake, Abdallah Bakari ‘Edo’. Mafunzo msimu uliopita chini ya makocha hao ilimaliza nafasi ya tatu ikiwa na pointi 55 baada ya kushinda michezo 16, sare saba na kupoteza saba. Kwa mujibu wa…

Read More

Watano wafariki ajalini Tunduma, watatu wajeruhiwa

Songwe. Watu watano wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la kubeba abiria aina ya Toyota Hiace na gari la mizigo katika eneo la Chapwa, Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe. Ajali hiyo imetokea leo Agosti 27,2025 saa moja asubuhi, baada ya dereva wa gari aina ya Toyota Hiace kugongana na…

Read More

Mpina, INEC sasa mwendo wa kanuni, sheria

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimeingia vitani na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) baada ya mgombea wake wa urais, Luhaga Mpina kuenguliwa katika mchakato wa uchaguzi mkuu, hatua iliyokilazimu chama hicho kwenda mahakamani kupinga uamuzi huo kikidai ni batili na unadumaza misingi ya demokrasia. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, pingamizi dhidi…

Read More

Sababu Yanga kumzuia Mzize | Mwanaspoti

KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer…

Read More

Morocco, Madagascar patachimbika CHAN 2024

TIMU ya taifa la Morocco imeweka historia nyingine kwenye michuano ya (CHAN) 2024 baada ya kuibwaga Senegal kwa mikwaju ya penalti 5-3 kufuatia sare ya bao 1-1 katika dakika 120 kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Kampala huku wakiwa na hesabu za fainali. Hii ni mara ya tatu kwa Morocco kutinga fainali ya michuano hiyo, katika…

Read More

Afrika Kusini kupigania msaada mapambano ya Ukimwi

Pretoria. Serikali ya Afrika Kusini imesema haitaruhusu kuondolewa kwa takribani (dola milioni 427) sawa na Sh1.1 trilioni zilizokuwa zinatolewa na Marekani, kudhoofisha programu yake kubwa ya kupambana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwa mujibu wa AP News, Programu hiyo, ingawa ni kubwa inakabiliana na changamoto, huku wataalamu wa afya wakionya kuwa katika miaka michache…

Read More

Mwili waopolewa mtaroni Jangwani | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwili wa mtu mmoja umeonekana asubuhi ukielea majini kwenye mtaro uliopo Jangwani, jirani na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mwendokasi. Katika eneo hilo kwa sasa unaendelea ujenzi wa barabara mbadala kabla ya kubomolewa ya awali kupisha ujenzi wa daraja la juu litakalounganishwa eneo la Fire na Magomeni. Mwili huo wa mtu mzima…

Read More

Kaya 1,800 zapewa miche ya miti ya matunda, kokoa bure

Kilombero. Jumla ya kaya 1,800 kutoka vijiji viwili vya Kata ya Mofu, wilayani Kilombero, zinatarajiwa kunufaika kiuchumi na kijamii baada ya kupatiwa miche ya bure ya matunda na kokoa kupitia Mradi wa Mazingira Plus, unaoratibiwa na Taasisi ya Mofu Rothenburg. Hatua hiyo inalenga kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira sambamba na kuinua kipato cha wananchi wa…

Read More