Admin

Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani

SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili. Katika mchakato huo wa kusaka kocha, Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na Mohamed Sahli raia wa Tunisia ambaye Mwanaspoti linafahamu upande wa bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo ilimtafuta wakitaka…

Read More

Sowah, Kante wafungiwa mechi tano, Yanga yatozwa faini

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah na kiungo wa timu hiyo, Allasane Kante, wamefungiwa kucheza mechi tano kila mmoja kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu waliyofanya dhidi ya Azam FC, Desemba 7, mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo Desemba 16, 2025, imeeleza kuwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More

Giza latanda ACT Wazalendo kuingia SUK

Dar es Salaam.  Siku zinaendelea kuyoyoma, huku ukimya ukitawala kuhusu hatima ya Chama cha ACT – Wazalendo, kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK). Hali iko hivyo, wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameacha nafasi nne za uwaziri zinazopaswa kujazwa na ACT – Wazalendo, chama kilichoshika nafasi ya pili kwa kura za…

Read More

Milima, mabonde ya siasa za Tanzania mwaka 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 uko karibu kufikia ukingoni. Unaweza kuwa miongoni mwa miaka iliyobeba mitihani zaidi katika mawanda ya kisiasa nchini. Ndani ya mwaka huo, kumeshuhudiwa mtikisiko mkubwa wa kisiasa, athari katika mshikamano wa Taifa, mambo yaliyoibua hoja ya haja ya upatanishi wa kitaifa. Lakini, mwaka huo huo kwa upande mwingine, umekuwa na fursa…

Read More

Mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa anaonya kuhusu kuongezeka kwa ukandamizaji nchini Venezuela, na kuongezeka kwa idadi ya watu nchini Ukraine – Masuala ya Ulimwenguni

Inawasilisha sasisho za mdomo kwa makao makuu ya Geneva Baraza la Haki za BinadamuKamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu Volker Türk alisema hali nchini Venezuela haijaimarika tangu mkutano wake wa mwisho mwezi Juni. “Ukandamizaji dhidi ya maeneo ya kiraia umezidi, na kukandamiza uhuru wa watu,” Bw. Türk alisemaakizungumzia kuwekwa kizuizini kiholela na kutoweka kwa lazima,…

Read More

Rushwa yatajwa kuchochea foleni Tunduma

Tunduma/Dar. Kiini cha msongamano wa magari unaoukabili mpaka wa Tunduma mkoani Songwe ni zaidi ya wembamba wa barabara. Yapo mengi yanayohusishwa na hali hiyo, vikiwemo vitendo vya rushwa. Sambamba na rushwa, wamiliki binafsi wa maegesho ya magari wameingia lawamani, wakitajwa kushiriki mchezo wa kusababisha msongamano huo ili kutengeneza mazingira ya kujiingizia kipato. Wakati hali ikielezwa…

Read More

Agizo jipya la kubomolewa kwa kambi ya Ukingo wa Magharibi ni ‘habari mbaya zaidi’ – Masuala ya Ulimwenguni

Baadhi ya majengo 25 yanakabiliwa na ubomoaji kuanzia tarehe 18 Disemba, na kuathiri mamia ya Wapalestina waliolazimika kuyahama makazi yao, Mkurugenzi wa UNRWA Masuala ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa, Roland Friedrich, alisema Jumanne katika taarifa iliyochapishwa kwenye mitandao ya kijamii. Zaidi ya hayo, picha za satelaiti zinaonyesha kuwa karibu nusu ya majengo yote katika kambi,…

Read More