Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani
SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili. Katika mchakato huo wa kusaka kocha, Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na Mohamed Sahli raia wa Tunisia ambaye Mwanaspoti linafahamu upande wa bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo ilimtafuta wakitaka…