Admin

Kipre Jr, Sillah watuma salamu Azam

SIKU moja baada ya Azam FC kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, waliokuwa mastaa wa timu hiyo wamewapongeza wachezaji, benchi la ufundi na uongozi huku wakiamini kuwa nafasi ya kutwaa kombe wanayo wakiendeleza vyema mapambano. Azam FC jana imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga KMKM kwa…

Read More

MAHAFALI YA 14 YA PSPTB YAFANA JIJINI DAR

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Jenifa Christian Omolo (kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Jacob Kibona (katikati) kwa kutambua mchango wake wakati wa Mahafali ya 14 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius…

Read More

Barabara Zaongeza Uchumi Ruvuma – MICHUZI BLOG

*TARURA Ruvuma kutekeleza Miradi ya Bilioni 22 kwa mwaka 2025/2026 Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Ruvuma umeendelea kunufaika na uwekezaji mkubwa wa Serikali katika miundombinu ya barabara, hatua inayochochea maendeleo ya kiuchumi, kilimo, na uhifadhi wa mazingira. Meneja wa TARURA mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…

Read More

Mwalimu: Kanichagueni nirudishe heshima ya pamba, mifugo

Bariadi. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewataka wananchi wa Bariadi kumchagua ili aweze kurejesha heshima ya zao la pamba na sekta ya mifugo, ambazo ziliwahi kuifanya wilaya hiyo kuwa kinara wa uchumi katika eneo hilo. Mwalimu ameyasema hayo leo, Jumamosi Oktoba 24, 2025, akiwa katika siku ya pili ya…

Read More

Mgombea urais TLP aahidi kumaliza migogoro ya wakulima, wafugaji

Moshi. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira ameahidi kushughulikia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kwa kutenga maeneo maalumu kwa kila kundi. Mbali na mkakati huo, pia amesema ataboresha miundombinu muhimu ya kilimo na ufugaji endapo atapewa dhamana ya kuongoza nchi. Akizungumza leo katika mkutano wa…

Read More

Serikali ilivyojibu madai ya Amnesty sakata la haki za binadamu

Dar es Salaam. Siku tano baada ya Shirika la Amnesty International kutoa taarifa iliyozishutumu mamlaka za Tanzania kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa watu kuelekea uchaguzi mkuu, Serikali imejibu taarifa hiyo ikisema imesikitishwa na madai hayo yasiyo na uthibitisho. Oktoba 20, 2025 Shirika la Amnesty ilitoa taarifa yake lilioiita “Unopposed, Unchecked, Unjust:…

Read More