
KUPATWA KWA MWEZI KESHO SEPT 7
…………….. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Kwa mujibu wa Taarifa hiyo imeeleza kuwa Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa…