
Sababu Yanga kumzuia Mzize | Mwanaspoti
KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer…