Admin

Sintofahamu majumba Kikwajuni ilivyomalizwa | Mwananchi

Unguja. Hatimaye sintofahamu kati ya Serikali na wananchi wa nyumba za Kikwajuni imefikia tamati baada ya pande zote kukubaliana kupisha eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa nyumba za kisasa. Februari 4, 2026, Mwananchi liliripoti mvutano huo uliotokana na hofu ya wananchi kuondolewa bila uhakika wa kurejea baada ya mradi kukamilika….

Read More

Kihongosi aanza ziara Shinyanga, ataja mambo matatu

Shinyanga. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaja mambo matatu atakayoyafanya katika ziara yake ya siku nne mkoani Shinyanga iliyoanza leo Jumatano, Machi 4, 2026. Mambo hayo ni uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo ambayo Serikali imepeleka fedha na jambo jingine ni kusikiliza changamoto za wananchi. …

Read More

Nsajigwa: Azam? Waje tumalizane | Mwanaspoti

BAADA ya kutambulishwa kuwa kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Shedrack Nsajigwa amesema yuko tayari kuikabili Azam FC, akieleza jinsi alivyoibadili timu hiyo ndani ya uwanja kurejesha ushindi kikosini. Nsajigwa alitambulishwa kikosini humo akichukua mikoba ya Zedekiah Otieno raia wa Kenya aliyesitishiwa kibarua chake Februari 25, 2026 kutokana na matokeo yasiyoridhisha kwenye Ligi Kuu. Akizungumza leo…

Read More

Ibenge azikomalia Simba na Yanga akitangaza vita mpya Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Azam, Florent Ibenge, amesema licha ya matokeo mazuri waliyonayo lakini hafurahii sana kwani pointi walizozidiwa na Yanga na Simba zinampa uchungu kufikia malengo yao ya ubingwa msimu huu. Amesema kutokana na hali hiyo, anaendelea kuwaandaa vyema nyota wake kuhakikisha kila mchezo ulio mbele yao wanapata ushindi, huku akiivimbia Tanzania Prisons kuhakikisha wanachukua…

Read More