Admin

Morocco, Madagascar patachimbika CHAN 2024

TIMU ya taifa la Morocco imeweka historia nyingine kwenye michuano ya (CHAN) 2024 baada ya kuibwaga Senegal kwa mikwaju ya penalti 5-3 kufuatia sare ya bao 1-1 katika dakika 120 kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Kampala huku wakiwa na hesabu za fainali. Hii ni mara ya tatu kwa Morocco kutinga fainali ya michuano hiyo, katika…

Read More

Afrika Kusini kupigania msaada mapambano ya Ukimwi

Pretoria. Serikali ya Afrika Kusini imesema haitaruhusu kuondolewa kwa takribani (dola milioni 427) sawa na Sh1.1 trilioni zilizokuwa zinatolewa na Marekani, kudhoofisha programu yake kubwa ya kupambana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwa mujibu wa AP News, Programu hiyo, ingawa ni kubwa inakabiliana na changamoto, huku wataalamu wa afya wakionya kuwa katika miaka michache…

Read More

Mwili waopolewa mtaroni Jangwani | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwili wa mtu mmoja umeonekana asubuhi ukielea majini kwenye mtaro uliopo Jangwani, jirani na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mwendokasi. Katika eneo hilo kwa sasa unaendelea ujenzi wa barabara mbadala kabla ya kubomolewa ya awali kupisha ujenzi wa daraja la juu litakalounganishwa eneo la Fire na Magomeni. Mwili huo wa mtu mzima…

Read More

Kaya 1,800 zapewa miche ya miti ya matunda, kokoa bure

Kilombero. Jumla ya kaya 1,800 kutoka vijiji viwili vya Kata ya Mofu, wilayani Kilombero, zinatarajiwa kunufaika kiuchumi na kijamii baada ya kupatiwa miche ya bure ya matunda na kokoa kupitia Mradi wa Mazingira Plus, unaoratibiwa na Taasisi ya Mofu Rothenburg. Hatua hiyo inalenga kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira sambamba na kuinua kipato cha wananchi wa…

Read More

Mwendokasi Mbagala kufanya kazi sambamba na daladala

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kuanza rasmi kwa huduma ya mabasi yaendayo haraka (BRT) barabara ya Mbagala, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imesema daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo zitaendelea kufanya safari zake kama kawaida. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano Agosti 27, 2025, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti…

Read More

Watumishi Mkinga waonywa lugha chafu wanapotoa huduma

Mkinga. Watumishi wa Serikali wilayani Mkinga, mkoani Tanga, wameonywa kuepuka matumizi ya lugha za matusi au dharau wanapotoa huduma kwa wananchi, kwani tabia hiyo inaweza kuathiri utoaji wa huduma bora katika ofisi za umma. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Omari Mashaka, wakati wa mafunzo elekezi kwa watumishi wa…

Read More

Siri ufunguzi wa Soko la Kariakoo kupigwa danadana

Dar es Salaam. Imekuwa ni  ahadi hewa  ya kufunguliwa soko la Kariakoo, lililokuwa katika ukarabati kwa miaka mitatu tangu lilipoungua na kuteketeza mali zote za wafanyabiashara. Soko hilo lililoungua mwaka 2021 ili kulijenga upya, Serikali ilitoa Sh28 bilioni kwa ajili ya  ujenzi huo . Katika kipindi chote hicho wafanyabiashara waliokuwa wakifanya shughuli zao sokoni hapo, walihamishiwa…

Read More

Mhadhiri aliyeshtakiwa kwa madai ya rushwa ya ngono kizimbani tena

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Tabora, imebatilisha uamuzi wa Mahakama ya Wilaya Tabora iliyomuachia huru, Michael Mgongo, aliyeshtakiwa kwa kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi wake kwa lengo la kumpendelea katika mitihani. Mahakama imebatilisha uamuzi uliofikiwa na mahakama ya chini ambayo ilimuachia huru Mgongo, mhadhiri msaidizi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) baada…

Read More