
Romuald Rakotondrabe Kocha aliyeandika historia ya soka Madagascar
KOCHA wa Madagascar, Romuald Rakotondrabe anapozungumza kuhusu timu yake, mara chache hugusia mchezaji mmoja mmoja na badala yake huweka msisitizo katika nidhamu, mshikamano na mtazamo chanya misingi ambayo imewapa nafasi ya kufika fainali ya CHAN. Madagascar ambayo ilishika nafasi ya pili kwenye msimamo wa kund B nyuma ya Taifa Stars ilitinga hatua hiyo baada ya…