Admin

Kutolipwa michango EAC, mawaziri wapewa zigo kulitatua

Arusha. Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), limepewa jukumu la kupitia upya mfumo wa michango ya kifedha ya nchi wanachama na kupendekeza upya makadirio inayopaswa kulipwa itakayolingana na uwezo halisi wa kiuchumi wa kila nchi. Hatua hiyo imekuja kufuatia kuchelewa mara kwa mara kwa baadhi ya nchi kuwasilisha michango yao ya uanachama,…

Read More

Simulizi ya Othman miaka mitano ya visa, mkasa kwenye siasa

Miaka mitano imepita tangu Othman Masoud Othman alipoingia rasmi kwenye siasa, baada ya kuteuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Machi Mosi, 2021 kupitia chama chake cha ACT Wazalendo. Othman, maarufu kama OMO, aliteuliwa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Maalim Seif Sharif Hamad, aliyefariki Februari 17, 2021 kiongozi wa siasa za upinzani visiwani…

Read More

Serikali ionyeshe njia ya kusaidia wanyonge

Kwa mara nyingine, Tume ya Ushindani wa Haki wa Kibiashara Zanzibar (ZFCC) imewaonya wafanyabiashara wanaokiuka bei elekezi za vyakula zilizopangwa na Serikali. Tume hiyo imewataka wabandike bei za bidhaa zao mahali panapoonekana wazi, na kuonya kuwa watakaokiuka maelekezo hayo watachukuliwa hatua za kisheria. Kwa mtazamo wa kawaida, hatua hiyo inaweza kuonekana kuwa ni jitihada za…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Balozi Nchimbi alivyoanzisha safari ya maridhiano kiana

Ukimsikiliza Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizungumza katika Misa Takatifu ya mazishi ya Mwadhama Polucarp Kardinali Pengo, unaweza kudhani ni maneno ya kisiasa, lakini ukweli ameanzisha safari ya maridhiano. Alichokisema Balozi Nchimbi ni nadra sana kusikia kutoka kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao ni wahafidhina (conservatives) ambao hawataki mabadiliko na wanachukulia…

Read More

Kauli ya Dk Nchimbi imegusa changamoto za kisiasa Tanzania

Kauli ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi ya kwamba; “mambo ya kugombana kivyama siyapendi, naona ni ujinga tu,” imeibua mjadala mpana kuhusu mwenendo wa siasa nchini na wajibu wa viongozi katika kulinda umoja wa kitaifa. Kauli hiyo aliitoa wakati wa salamu za rambirambi kwenye mazishi ya Polycarp Kardinali…

Read More