Admin

Upelelezi bado shauri la wizi Benki ya Equity

Dar es Salaam. Washtakiwa 11 wanaokabiliwa na mashtaka 20, yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni kwa udanganyifu mali ya Benki ya Equity Tanzania Limited, wataendelea kusalia rumande hadi Septemba 9, 2025 kesi itakapotajwa. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa shauri hilo la uhujumu uchumi kutokamilika, huku mashtaka ya kutakatisha…

Read More

Azam kunogesha Mbeya City Day Sokoine

Wakati Mbeya City ikiendelea na maandalizi ya tamasha lake la ‘Mbeya City Day’, timu hiyo imesema inatarajia kujipima nguvu dhidi ya Azam FC ili kunogesha tukio hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 9 mwaka huu. Kabla ya tukio hilo, timu hiyo itaanza kushiriki shughuli za kijamii ikiwa ni kuchangia damu kwenye Hospitali ya Igawilo, kutembelea watoto kwenye…

Read More

Aungana na familia miaka 17 tangu alipotoweka

Miaka 17 iliyopita, Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Nakuru, nchini Kenya imekuwa zaidi ya kituo cha matibabu kwa Mtanzania, Selina Paul. Imekuwa ndiyo makazi pekee aliyoyajua kwa takribani miongo miwili. Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Daily Nation, Selina alilazwa hospitalini hapo Machi, 2008 baada ya kugunduliwa kuwa na ugonjwa wa schizophrenia (ugonjwa…

Read More

SERIKALI KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA MIUNDOMBINU NA UNUNUZI WA VIFAA VYA KISASA UMEONGEZA TIJA NA UFANISI WA BANDARI -TPA

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema maamuzi ya Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu na ununuzi wa vifaa vya kisasa pamoja na kushirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa Bandari nchini, yamekuwa na tija kwa kuongeza ufanisi na uwezo wa Bandari ya Dar es Salaam, kuhudumia tani milioni 27.7 kwa mwaka wa fedha wa…

Read More

Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize

MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…

Read More

Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More