Admin

Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize

MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…

Read More

Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Homera Achukua Fomu ya ugombea Ubunge katika Jimbo la Namtumbo kwa tiketi ya CCM, Atangaza Kuvunjwa Makundi Yaliyokuwepo

Na Mwandishi Maalum, Namtumbo ALIYEWAHI kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt Juma Zuber Homera,amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi na kutangaza rasmi kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama hicho. Akizungumza na mamia ya Wanachama…

Read More

Mwabukusi: Hoja ya Chadema kuhusu ‘reforms’ ya kweli huwezi kuipuuza

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema yapo maeneo muhimu katika shughuli ya kuelekea uchaguzi mkuu yaliyotakiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na changamoto zinazolalamikiwa, lakini hayakuguswa kufanyiwa marekebisho.  Msingi wa kuyasema hayo unatokana na majadiliano na mijadala yaliyofanywa kati ya TLS na wadau mbalimbali ikiwemo asasi za kiraia juu ya kuelekea ushiriki wa…

Read More

Opah atimkia Ligi Kuu Hispania

MSHAMBULIAJI na nahodha wa Timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars Opah Clement ametambulishwa kwenye kikosi cha SD Eibar inayoshiriki Ligi Kuu Hispania maarufu Liga F. Ametambulishwa kikosini hapo akitokea FC Juarez ya Mexico aliyoitumikia kwa msimu mmoja akicheza mechi sita kati bila ya kufunga bao wala asisti. Nyota huyo wa kimaaifa wa Tanzania anakuwa…

Read More

Msafara wa Mpina wazuiwa kuingia ofisi za INEC

Msafara wa mtiania wa urais wa Chama cha ACT –Wazalendo, Luhaga Mpina amezuiwa kuingia ndani ya jengo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma. Msafara huo ulifika saa 6 mchana ya leo Jumatano, Agosti 27, 2025 ambapo askari kanzu na waliovalia sare wamelifunga geti la ofisi hizo  ili asiingie. Jana Jumanne, Mkurugenzi…

Read More