
Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize
MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…