Admin

Bado Watatu – 10 | Mwanaspoti

NIKAGEUKA na kumtazama mtu huyo aliyekuwa nyuma yangu na kumuuliza. “Ndiye yeye….amepatwa na nini sijui…?” “Inaonekana amejinyonga au amenyongwa.” “Ndiyo maana tangu jana sijamuona. Kumbe…!” Nikageuza uso tena na kuitazama ile maiti iliyokuwa inaning’inia. “Kama si wewe nisingetambua kama yeye ndiye Frank. Huyu jamaa anaishi na nani humu ndani?” “Anaishi peke yake. Aliwahi kuniambia kuwa…

Read More

INEC KUTOA GARI KWA KILA MGOMBEA URAIS ANAYEKIDHI VIGEZO

…………. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) itamkabidhi kila mgombea atakaetimiza vigezo na kutangazwa kuwa mgombea Urais wa chama cha siasa kitakacho shiriki Uchaguzi Mkuu 2025, gari hili aina ya LandCruise GX VXR Mpya ya 2025 zero kilometer Magari hayo yanatolewa kwa wagombea Urais pekee, pamoja na Dereva kwa ajili ya kumuwezesha Mgombea Urais…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Malalamiko haya yamalizwe mapema

Malalamiko ni silika ya kawaida kwa mwanadamu yeyote. Pale anapoguswa na hali isiyompendeza, mtu hataacha kulalamika hata iwe kwenye mambo madogo kiasi gani. Mmoja atalalamikia uhuru na haki zake, lakini mwingine atalalamika hata aking’atwa na mbu. Wataalamu wanasema malalamiko ni dawa ya kuepusha msongo, ni mbaya sana kuishi na vijiba rohoni. Malalamiko yanataka kufanana kidogo…

Read More

Fyatu ‘kuchangisha’ matrilioni ya kampeni

Japo mie na chata letu tumepiga njuluku za mafyatu hata kabla ya dunia kuumbwa, lazima tuzidi kuwafyatua ili wasitufyatue. Hakuna wakati mzuri wa kufyatua njuluku za mafyatu hasa wale mafisi na mafisadi kama huu. Kwa vile huu ni wakati wa kupika kura ya kula, lazima wasaka kura ya kula waliwe na wapika kura ya kula….

Read More

Israeli yaua wanajeshi sita wa Syria

Maofisa sita wa Jeshi la Syria wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Israel kusini mwa Damascus, kituo cha televisheni ya Serikali ya Syria, El Ekhbariyaimeripoti. Mashambulizi hayo yamefanyika ikiwa ni siku moja baada ya Syria kulaani kile ilichokiita “uvamizi wa kijeshi” mpya wa Israel, nje ya mji mkuu Damascus. Ndege zisizo na…

Read More