Video: Dubai Yaimarisha Usalama Baada ya Shambulio la Droni Kutoka Iran
Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Ubalozi wa Marekani ulioko mjini Dubai katika United Arab Emirates ulishambuliwa kwa droni usiku wa Jumanne, Machi 3, 2026. Droni hiyo, inayodaiwa kutoka Iran, ilisababisha mlipuko mdogo na moto karibu na eneo la maegesho ya magari la ubalozi. Kwa mujibu wa mamlaka za UAE, droni iliingia katika anga ya…