Iran Yapiga Kambi ya Kijeshi ya Marekani Qatar kwa Kombora la Balestiki – Video
Global Publishers March 4, 2026 0 Comments Kombora la balestiki lililorushwa na Iran limepiga kambi ya kijeshi ya Marekani katika Al Udeid Air Base nchini Qatar, kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya Qatar. Tukio hilo linatajwa kuwa sehemu ya mashambulizi mapya ya Tehran katika eneo la Ghuba, yakidaiwa kuwa hatua ya kulipiza kisasi dhidi…