Admin

Matumizi ya VAR Bongo tumekwama hapa

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakijiuliza lini teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) itaanza kutumika katika mechi za Ligi Kuu Bara kufuatia makosa ya kibinadamu yanayoonekana mara kwa mara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefichua kuwa zimebaki hatua mbili kabla ya kuanza kuitumia. …

Read More

WANYAMAPORI NI UTI WA MGONGO WA SEKTA YETU YA UTALII- MAFURU

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Wanyamapori Duniani, siku maalum inayotambua mchango wa wanyamapori katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kimazingira. Akizungumzia maadhimisho hayo Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Ephraim Mafuru, amesema kuwa, kwa Tanzania wanyamapori si urithi wa asili pekee bali ni sehemu ya…

Read More

Matumizi ya VRA Bongo tumekwama hapa

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakijiuliza lini teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) itaanza kutumika katika mechi za Ligi Kuu Bara kufuatia makosa ya kibinadamu yanayoonekana mara kwa mara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefichua kuwa zimebaki hatua mbili kabla ya kuanza kuitumia. …

Read More

Ushindi wa Takaichi Unasemaje Kuhusu Siasa za Vijana katika Enzi ya Dijitali – Masuala ya Ulimwenguni

Picha: Hiroshi-Mori-Stock / shutterstock.com na 内閣広報室 / Ofisi ya Masuala ya Umma ya Baraza la Mawaziri / Wiki Commons Maoni by Ria Shibata Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service Ushindi wa Sanae Takaichi katika uchaguzi wa Februari unaashiria mabadiliko ya kihistoria katika siasa za Japan. Akiwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa Japani na…

Read More

ICU ni Nini? Ukweli Wote Kuhusu Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Watu wengi hawajui mgonjwa wao akipelekwa ICU na kujiuliza kuna nini huko? ICU ni Kitengo Maalum cha Wagonjwa Mahututi. Kinarejelea mahali ambapo matibabu maalum hutolewa kwa wagonjwa ambao afya zao zimetetereka kabisa na wanaohitaji uangalizi na usaidizi maalum wa karibu na madaktari. Inatoa huduma muhimu na msaada wa maisha kwa wagonjwa waliozidiwa kiafya au waliojeruhiwa….

Read More