


Azania Bank Kuendelea Kutoa Huduma Bora Kwa Taasisi za Umma – Global Publishers
Last updated Aug 26, 2025 Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Dkt.Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa idara ya wateja wakubwa wa Benki ya Azania Bw. Samson Mahimbi juu ya ushiriki na huduma zitolewazo na benki hiyo Kwa Taasisi za Umma wakati Naibu Waziri Mkuu alipotembelea banda la Benki…

ACT-Wazalendo Yapinga Uteuzi wa Mpina Kutenguliwa na Msajili – Global Publishers
Last updated Aug 26, 2025 Chama cha ACT-Wazalendo kimesema haitafuata maelekezo ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambayo yamebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho. Kwa mujibu wa chama hicho, Msajili hana mamlaka ya kuingilia mchakato wa kuteuliwa mgombea wa urais isipokuwa…

Moja kati ya nne bado haina ufikiaji wa maji salama ya kunywa na usafi wa mazingira – maswala ya ulimwengu
ripoti Kutoka kwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na wakala wa watoto (UNICEF) Imetolewa kama Wiki ya Maji Duniani inapoendelea, inaonyesha mapungufu yanayoendelea katika upatikanaji, na jamii zilizo hatarini zinazokabiliwa na utofauti mkubwa. Watu wapatao bilioni 2.1 bado hawana ufikiaji wa maji ya kunywa yanayosimamiwa salama, wakati milioni 106 ulimwenguni wanalazimika kutegemea vyanzo vya uso…

CHAN 2024: Morocco yaivua ubingwa Senegal
MABINGWA wa kihistoria wa Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, Morocco wamefuzu fainali ya michuano hiyo kwa kuivua ubingwa Senegal. Katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa leo Agosti 26, 2025 kwenye Uwanja wa Mandela uliopo Kampala nchini Uganda, mikwaju ya penalti 5-3 imetosha kuifanya Morocco kuwa mbabe mbele ya Senegal, timu iliyokuwa…

KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu Kailima R.K, amefunga kikao cha siku mbili cha Tume na Vyama vya Siasa 18 vyenye usajili kamili na ambavyo vimependekeza wagombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wa Rais, kwa lengo la kujadili na kupanga kwa…

Vodacom Tanzania Yazindua Ripoti ya ESG, Ikitia Mkazo Mazingira, Jamii na Utawala Bora
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), akikata utepe kuzindua Ripoti ya ESG yenye kaulimbiu “Connecting for Good: People, Planet and Possibilities”, huku akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire. Ripoti hiyo inaonesha mchango wa teknolojia na huduma za mawasiliano katika kubadilisha maisha ya watu, kuongeza…

Wadau waeleza ushirikiano unavyoleta maendeleo thabiti
Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma ni nguzo muhimu ya kuhakikisha Tanzania inafanikisha Dira ya Maendeleo ya 2050, inayolenga kujenga Taifa jumuishi kidijitali, lenye uchumi thabiti, jamii yenye ustawi na utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa leo Jumanne, Agosti 26, 2025 na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Ripoti ya Ujumuishi wa…

Dk Migiro akabidhiwa ofisi akisema ‘tupo tayari kukitetea chama’
Dodoma. Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro ameanza rasmi kazi akisema, “tuko tayari kukitetea chama chetu ili kihakikishe wagombea wetu kinashinda.” Dk Migiro amesema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 akiwa makao makuu ya CCM, ‘White House’ jijini Dodoma, alipofika kukabidhiwa ofisi na Dk Emmanuel Nchimbi. Agosti 23, 2025, Halmashauri…

Kihogosi awajibu wanaoandamana CCM kupinga ‘kukatwa’ watiania
Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewasititizia WanaCCM kuheshimu uamuzi wa vikao kuhusu watiania walioteuliwa na chama hicho kuwania ubunge na udiwani. Amesema kila MwanaCCM anapaswa kutambua, kuheshimu chama hicho, badala ya watu ndani ya chama, akitumia msemo wa ‘chama kwanza, mtu baadaye.’ Kihongosi ameeleza…