Sekta ya sanaa yatakiwa kuwekewa mifumo ya kazi zenye staha
Morogoro. Wakati sekta ya sanaa na ubunifu ikiendelea kukua kwa kasi na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana nchini, wadau wameonya kuwa bila kuhakikisha uwepo wa kazi zenye staha, mchango wake katika kukuza uchumi wa Taifa unaweza kubaki kwenye takwimu zisizogusa maisha halisi ya wasanii. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sedeva, Izack Abeneko…