NAIBU WAZIRI NISHATI AKUTANA NA MKURUGENZI WA GO PLANT TANZANI
……….. Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na Mkurugenzi wa Go Plant Tanzania Bw. Emmanuel Likida kwa lengo la kujadili namna ya kushirikiana katika maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri za Mkoa wa Dodoma. Katika kikao hicho, pande zote mbili zimejadili umuhimu…