Admin

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More

JWK YAVUTIWA NA DAWATI LA UWEZESHAJI BIASHARA LA FORODHA

Uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo (JWK) umefanya ziara ya kutembelea dawati maalum la uwezeshaji biashara Kariakoo katika Idara ya Forodha na Ushuru ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kupongeza namna huduma zinavyotolewa katika kurahisisha biashara. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo Bw. Sevelin Mushi amesema dawati hilo…

Read More

Mwenyekiti mpya CUF kuanza na maridhiano ya ndani

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Mirambo Yusuf ametangaza mipango ya kukijenga upya chama hicho kupitia maridhiano ya ndani yatakayolenga kumaliza migogoro ya muda mrefu iliyokikumba. Mbali na hilo, amesema anatarajia kufanya marekebisho ya katiba ya chama, hususan katika eneo la kuwatambua na kuthamini mchango wa viongozi waliowahi kukitumikia. Kwa mujibu wa…

Read More

MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO

………… 📌Lengo ni kupunguza muda wa kushughulikia hitilafu na kuongeza ufanisi katika kuwahudumia wateja 📌Asema TANESCO imeimarika, imetoka katika kutengeneza hasara 📍Bagamoyo, Pwani Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. Subira Mgalu leo Machi 03, 2026 amekabidhi magari mapya kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kwa lengo la kuimarisha huduma kwa…

Read More

VIJANA 168,657 WANUFAIKA MAFUNZO UANAGENZI

Serikali imesema itaendelea kuratibu na kuimarisha Sera, Sheria na Miongozo inayosimamia programu za Mafunzo ya Uanagenzi na kuhamasisha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kutoa nafasi za mafunzo kwa vitendo kwa wanagenzi nchini. Waziri wa Nchi Ofisi ya Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Deus Sangu amesema hayo leo Machi 03,2026 katika chuo cha ufundi stadi Daon…

Read More