Mossad walivyodukua kamera za barabarani, kumuua Khamenei
Dar es Salaam. Mashambulizi ya anga Mashariki ya Kati yameingia siku ya nne leo huku milipuko mikubwa ikitikisa miji ya Tehran, Iran na Beirut, Lebanon huku masoko ya fedha duniani yakishuka na hofu ya kuvurugika kwa usambazaji wa nishati kufuatia vita vya anga kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran. Ripoti mpya zimeibua madai…