Admin

Diaspora kuvutwa uwekezaji kwenye hisa Tanzania

Dar es Salaam. Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeshauriwa kuongeza nguvu ili kuwavuta Watanzania wanaoishi nje ya nchi kuwekeza katika soko la mitaji na dhamana. Kuwekeza kwao kutafanya Tanzania kupata fedha za kutosha kuendesha baadhi ya miradi na kuchochea uchumi wa nchi. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Machi 3, 2026 katika jukwaa la…

Read More

Manahodha Bara watia neno kanuni za Ligi Kuu

WAKATI kumekuwa na mijadala kuanzia mtaani hadi mitandaoni kuhusu kanuni za Ligi Kuu Bara msimu huu ambao zimeonekana kuuma kwelikweli, baadhi yaa mastaa na manahodha wa klabu za ligi hiyo wameshindwa kujizuia na kuzungumza. Kama hujui, kuna baadhi ya kanuni za Ligi Kuu zinazowahusu moja kwa moja wachezaji lengo likiwa ni kulinda nidhamu ya mechi…

Read More

Azam vs Yanga kupigwa Chamazi

MAJIBU ya maswali kuhusu wapi Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC dhidi ya Yanga katika Ligi Kuu itachezwa yamepatikana baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kupisha maboresho yanayolenga Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027. Dabi hiyo itakayochezwa Machi 15, 2026 imehamishiwa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es…

Read More

Baba Levo, AG kidedea, mahakama yakataa nyaraka kukaguliwa

Kigoma. Mahakama Kuu Kigoma, imekataa maombi ya kukagua na kujiridhisha kuhusu nyaraka mbalimbali za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 katika jimbo la Kigoma Mjini. Nyaraka hizo ni pamoja na kujiridhisha juu ya uwepo wa nakala halisi ya daftari la wapiga kura lililotumiwa katika kila kituo cha uchaguzi kuidhinisha mpigakura, fomu za matokeo kwa kila…

Read More

Rais Trump: Viongozi wa Iran Wanataka Tuzungumze ‘Wamechelewa’

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kuishambulia Iran kwa maneno makali akidai kuwa viongozi waliosalia wa Tehran sasa wanataka mazungumzo, lakini “muda umechelewa.” Kupitia akaunti yake ya Truth Social, Trump aliandika: “Ulinzi wao wa anga, Jeshi la Anga, Jeshi la Wanamaji na uongozi wao umeondoka. Wanataka kuzungumza. Nilisema ‘Too Late!’…

Read More