
JamiiForums Yafungiwa Siku 90 na TCRA kwa Maudhui Yenye Utata – Global Publishers
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni ya kampuni ya Vapper Tech Limited, wamiliki wa jukwaa maarufu la JamiiForums, kufuatia tuhuma za kuchapisha maudhui yanayodaiwa kupotosha na kudhalilisha viongozi wa Serikali. Katika taarifa iliyotolewa leo, Septemba 6, 2025 na kusainiwa na Mkurugenzi…