Mwananchi Alalamikia Unyanyasaji wa Kibenki, Adai mali zake zimeuzwa bila Mnada Licha ya Kuwa na Uwezo wa Kulipa
Mwananchi wa Jiji la Dar es Salaam Kata ya Kivule Mtaa wa Kipunguni B, Paschal Paul Niboye, maarufu kama Mzee Moshi Bar akizungumza jana Oktoba 24, 2025 na waandishi wa habari. Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV MWANANCHI wa Jiji la Dar es Salaam Kata ya Kivule Mtaa wa Kipunguni B, Paschal Paul Niboye, maarufu kama…