Admin

Barabara Zaongeza Uchumi Ruvuma – MICHUZI BLOG

*TARURA Ruvuma kutekeleza Miradi ya Bilioni 22 kwa mwaka 2025/2026 Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Ruvuma umeendelea kunufaika na uwekezaji mkubwa wa Serikali katika miundombinu ya barabara, hatua inayochochea maendeleo ya kiuchumi, kilimo, na uhifadhi wa mazingira. Meneja wa TARURA mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Silvester Chinengo,…

Read More

Mwalimu: Kanichagueni nirudishe heshima ya pamba, mifugo

Bariadi. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewataka wananchi wa Bariadi kumchagua ili aweze kurejesha heshima ya zao la pamba na sekta ya mifugo, ambazo ziliwahi kuifanya wilaya hiyo kuwa kinara wa uchumi katika eneo hilo. Mwalimu ameyasema hayo leo, Jumamosi Oktoba 24, 2025, akiwa katika siku ya pili ya…

Read More

Mgombea urais TLP aahidi kumaliza migogoro ya wakulima, wafugaji

Moshi. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira ameahidi kushughulikia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kwa kutenga maeneo maalumu kwa kila kundi. Mbali na mkakati huo, pia amesema ataboresha miundombinu muhimu ya kilimo na ufugaji endapo atapewa dhamana ya kuongoza nchi. Akizungumza leo katika mkutano wa…

Read More

Serikali ilivyojibu madai ya Amnesty sakata la haki za binadamu

Dar es Salaam. Siku tano baada ya Shirika la Amnesty International kutoa taarifa iliyozishutumu mamlaka za Tanzania kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa watu kuelekea uchaguzi mkuu, Serikali imejibu taarifa hiyo ikisema imesikitishwa na madai hayo yasiyo na uthibitisho. Oktoba 20, 2025 Shirika la Amnesty ilitoa taarifa yake lilioiita “Unopposed, Unchecked, Unjust:…

Read More

Kuwa Rubani Wa Super Heli Uondoke Na Samsung A26

MUDA wa kuwa rubani wa bahati yako umefika. Meridianbet imezindua promosheni kabambe inayotikisa anga la michezo ya kasino mtandaoni kupitia Super Heli, mchezo maarufu kutoka Expanse Studios. Kampeni hii ya kipekee kwa kucheza Super Heli unapata nafasi ya kujishindia Samsung A26 mpya kabisa, bila malipo ya ziada, bila masharti magumu. Ni kucheza tu, Kufurahia, na…

Read More

Bakwata Mara waandaa dua maalumu kuliombea Taifa amani

Musoma. Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Mara wamefanya dua maalumu kuliombea Taifa amani keuelekea uchaguzi mkuu, huku waumini hao wakitakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025. Dua hiyo imefanyika mjini Musoma leo Oktoba 25, 2025 katika Msikiti Mkubwa wa Ijumaa ambapo Sheikh wa Mkoa wa Mara, Kassim Msabaha amewataka waumini na Watanzania…

Read More