Admin

Wikendi ya Kutusua na Meridianbet Hapa

NI Jumamosi nyingine kabisa ya wewe mteja wa Meridianbet kupiga pesa nyingi kabisa kwani mechi za kubashiri zipo nyingi Duniani kote. Kuna mechi za kufuzu Kombe la Dunia kuanzia Africa mpaka kule Ulaya. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. LEAGUE ONE kule Uingereza leo hii kuna mechi zinazoendelea Wycombe Wanderers atakipiga dhidi ya Mansfield…

Read More

Haaland aipeleka Namungo fainali Tanzanite Pre-Season International

MABAO mawili yaliyofungwa na mshambuliaji wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ katika kila kipindi, yameifanya timu hiyo kufuzu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Namungo imeiondosha Tabora United kwa kichapo cha mabao 2-1, katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo uliochezwa leo Septemba 6, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara….

Read More

JamiiForums yafungiwa, mmiliki ajiuzulu ujumbe wa bodi

Dodoma. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imelifungia jukwaa la mtandaoni JamiiForums kwa miezi mitatu, huku mmiliki wa mtandao huo Maxence Melo akijiuzulu ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. TCRA kupitia taarifa iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 na kusainiwa na Mkurugenzi Mkuu, Dk Jabir Bakari imesema leseni iliyotolewa kwa Vapper Tech JamiiForums…

Read More

Polisi yamsaka aliyeonekana akimnywesha mtoto pombe

Dar es Salaam. Mamlaka za Serikali zimeutaka umma kusaidia kuwezesha kupatikana mwanamke ambaye kupitia mitandao ya kijamii ameonekana akimnywesha mtoto mdogo kunywa pombe, tendo ambalo ni kinyume cha sheria. Jeshi la Polisi katika taarifa kwa umma iliyotolewa leo Septemba 6, 2025 limeeleza limeona picha mjongeo inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii akionekana mwanamke akimhamasisha na kumnywesha…

Read More