Admin

Wanapokosea upinzani kusaka dola nchi za Afrika

Dar es Salaam. Safari ya vyama vya upinzani barani Afrika katika kuisaka dola inaendelea kuwa ngumu na yenye miiba, huku vikwazo vya kisiasa, kisheria na kiusalama vikizidi kutishia uhai na mustakabali wa viongozi wake. Licha ya kuanzishwa kwa vyama vya upinzani kwa dhamira ya kuimarisha demokrasia, kutoa mbadala wa sera na kuikosoa serikali kwa uwajibikaji,…

Read More

Aliyekiri kuua kwa kudai kuvuta bangi, ahukumiwa kunyongwa

Arusha. Bingwa wa kupangua adhabu ya kifo anasa, ndivyo unaweza kuelezea namna Kinyota Kabwe aliyepangua adhabu ya kifo mara mbili, alivyotiwa hatiani tena na kuhukumiwa kifo kwa mara ya tatu kwa kosa lilelile alilolitenda miaka 12 iliyopita. Mara ya kwanza alihukumiwa adhabu ya kifo mwaka 2017 lakini akakata rufaa na mahakama ikaamuru kesi isililizwe upya,…

Read More

Tamko la kihistoria la ugonjwa na afya ya akili, njaa ya Afghanistan inazidi, mzozo wa wakimbizi wa DR Congo – Masuala ya Ulimwenguni

Makubaliano hayo yanaashiria mara ya kwanza kwa serikali kujitolea kushughulikia magonjwa sugu – kama vile ugonjwa wa moyo, saratani na kisukari – pamoja na afya ya akili, kwa kutambua ongezeko lao la maisha na uchumi duniani kote. Futa malengo ya 2030 Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni miongoni mwa visababishi vikuu vya vifo duniani kote, huku…

Read More

Gamondi aivimbia Nigeria AFCON 2025

KOCHA wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, amesema hana hofu wala presha na safu ya ushambuliaji ya Nigeria inayoongozwa na nyota wa Galatasaray, Victor Osimhen kwa kueleza anaijenga timu hiyo kwa mfumo na mkakati unaoweza kuhimili presha ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Taifa Stars iliyopangwa Kundi C, itatupa karata yake ya…

Read More

Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani

SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili. Katika mchakato huo wa kusaka kocha, Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na Mohamed Sahli raia wa Tunisia ambaye Mwanaspoti linafahamu upande wa bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo ilimtafuta wakitaka…

Read More