SERIKALI YADHAMIRIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA KILIMO KUPUNGUZA UMASKINI:SILINDE.
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe David Silinde amesema kuwa Serikali imeweka dhamira ya kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ili kupunguza umaskini na kuongeza ajira hasa kwa vijana na wanawake na kufikia asilimia 10 ya ukuaji wa kilimo ifikapo mwaka 2030. Mhe Silinde ameyasema hayo leo Jijini Dodoma Machi 3,2026 wakati akifungua Mkutano wa nne…