Admin

Kiwanda kingine cha madini kujengwa Bahi

Bahi. Serikali imezindua mpango wa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusindika na kuyeyusha madini ya nikel na shaba kitakachogharimu Sh30 bilioni na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watu 300. Leo Agosti 26, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda hicho katika kijiji cha Zanka, Wilaya ya…

Read More

Jamii yatakiwa kuwapokea wafungwa uraiani

Mbeya. Jeshi la Magereza mkoani Mbeya limeiomba jamii kuwapokea vizuri wafungwa wanaomaliza muda wao wa adhabu gerezani kurejea uraiani, ili kuwafundisha kutii sheria na kuondokana na uhalifu. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Agosti 26, 2025 kwenye maadhimisho ya miaka 64 ya Jeshi la Magereza baada ya uhuru, na Mkuu wa Gereza la Ruanda jijini Mbeya, Christopher…

Read More

Yanga kutesti  mitambo na Wakenya | Mwanaspoti

BAADA ya Rayon Sports, mastaa wa Yanga wanatarajia kushuka tena dimbani Septemba 12 wakiivaa Bandari ya Kenya kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi. Mara ya mwisho Yanga ilicheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye tamasha hilo dhidi ya mabingwa wa Ligi Kuu Zambia msimu wa 2024/24 ikicheza na Red Arrow ikiibuka na ushindi wa mabao…

Read More

Kanisa laingilia mvutano mazishi ya Rais Lungu

Lusaka. Zikiwa zimetimia siku 82 tangu Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu (68), afariki dunia, mvutano wa mazishi yake umewaibua viongozi wa dini ambao wametoa wito kwa Serikali kuanzisha majadiliano ya haraka na dhati kwa familia yake. Tangu kufariki dunia kwa Lungu, Juni 5, 2025 Serikali ya Zambia imeingia kwenye mvutano na familia kuhusu…

Read More

Straika la CHAN 2024 latajwa Uholanzi

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa la Algeria, Sofiane Bayazid ambaye amefunga mabao matatu kwenye mashindano ya CHAN 2024 ametajwa huko Uholanzi kwa kuhusishwa na Heracles inayoburuza mkia kwenye msimamo wa Eredivisie. Licha ya Algeria kuishia robo fainali kwenye michuano hiyo, Bayazid alionyesha kiwango kizuri kiasi cha kumezewa mate na Heracles ambayo imeanza msimu huu wa…

Read More

Rais Mwinyi afafanua ongezeko la usawa wa kijinsia Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua katika masuala ya usawa wa kijinsia kuanzia kwenye sera na sheria zilizopo. Amesema Serikali imeanza utekelezaji wake kuhakikisha usalama wa wanawake unazingatiwa kwa kuweka miundombinu bora kwao. Dk Mwinyi ameeleza hayo leo Jumanne Agosti 26, 2025 katika ufunguzi wa mkutano wa saba wa dunia…

Read More