Admin

Oussama katika vita ya ufungaji CHAN 2024

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Oussama Lamlioui, amekuwa silaha ya maangamizi kwa Morocco kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), huku akiwa katika nafasi nzuri ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora. Kabla ya mechi za nusu fainali ambazo zilipigwa leo Jumanne, Lamlioui alikuwa akiongoza orodha ya wafungaji akiwa…

Read More

Jaji Mkuu awatangazia kiama waajiri, akililia haki za wafanyakazi

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, ametaka taasisi binafsi na Serikali kuheshimu haki za wafanyakazi, akisema waajiri wanaoshindwa kupeleka michango ya wafanyakazi watashughulikiwa. Jaji Mkuu huyo amesema yupo hatua za mwisho kuchapisha kwenye Gazeti la Serikali (GN) kanuni za kurekebisha sheria ya mwenendo wa madai, ili waajiri wanaoshindwa kupeleka michango ya wafanyakazi…

Read More

Kiungo Sudan afichua siri za Appiah

KIUNGO wa timu ya taifa la Sudan, Abdel Raouf amefunguka kuhusu uhusiano wake na Kocha Kwesi Appiah, akiueleza kuwa ni zaidi ya kocha na mchezaji kwenye kikosi hicho ambacho jana, Jumanne kilicheza mechi ya nusu fainali ya CHAN dhidi ya Madagascar. Nyota huyo ambaye ni mchezaji wa Al-Hilal, alisema kocha huyo raia wa Ghana ni…

Read More

-DKT. BITEKO AHIMIZA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO VIKAO VYA KIMKAKATI VYA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akimkabidhi Cheti Mwenyekiti wa Bodi ya Hifadhi ya Ngorongoro, Jenerali Venance Mabeyo wakati wa ufungaji wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs Forum 2025) kilichofanyika Agosti 26, 2025 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Cheti hicho kimekabidhiwa kwa kuwa NCAA imekuwa…

Read More

Katibu wa CCM Wilaya ya Mafia afariki dunia

Tanga. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mafia mkoani Pwani, Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga. Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Katibu wa CCM, Wilaya ya Handeni, Mayassa Kimbau leo Jumanne Agosti 26, 2025 kupitia mitandao ya kijamii na kueleza Kikweo amefariki dunia…

Read More

Kitila: Serikali inataka kuwafuata watu popote walipo kidijitali

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo katika kuhakikisha ulimwengu wa kidijitali unamfikia kila Mtanzania amesema lazima watu wawezeshwe bila kusahau ushirikiano wa sekta binafsi, miundombinu na sera madhubuti. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 jijini Dar es Salaam, kwenye uzinduzi wa ripoti ya ujumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) ya Kampuni…

Read More

Dk Mwinyi kuchukua fomu Agosti 30, wasanii kunogesha

Unguja. Baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutoa ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu, mtiania urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi anatarajia kuchukua fomu Agosti 30, 2025. Siku hiyo baada ya kuchukua fomu, Dk Mwinyi ambaye ndiye Rais wa Zanzibar anayemaliza awamu ya kwanza ya utawala wake, atazungumza na…

Read More