Admin

Mara yapanga bajeti ya Sh488.9 bilioni

Musoma. Sekretarieti ya Mkoa wa Mara pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani humo zinatarajia kutumia zaidi ya Sh488.9 bilioni katika mwaka wa fedha 2026/27 kwa ajili ya kutekeleza shughuli za sekretarieti ya mkoa na mamlaka za serikali za mitaa. Kiasi hicho cha fedha kinatarajiwa kutumika kwa ajili ya mishahara, matumizi mengineyo na miradi…

Read More

KWANINI SERIKALI INAMILIKI HISA CHACHE KWENYE KAMPUNI

::::::::: Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imesisitiza kuwa uamuzi wake wa kumiliki hisa chache katika baadhi ya kampuni nchini na nje ya nchi unalenga kushiriki katika maamuzi ya kimkakati na kuhakikisha uwekezaji wake, ambao kwa sasa umefikia Sh1.94 trilioni, unaleta tija kwa Taifa. Kauli hiyo ilitolewa Jumanne, Machi 3, 2026 na Bi….

Read More

TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA ABDULRAHMAN KINANA

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana. Mkutano huo wa Tume na Kinana umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya Tanzania…

Read More