
Oussama katika vita ya ufungaji CHAN 2024
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Oussama Lamlioui, amekuwa silaha ya maangamizi kwa Morocco kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), huku akiwa katika nafasi nzuri ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora. Kabla ya mechi za nusu fainali ambazo zilipigwa leo Jumanne, Lamlioui alikuwa akiongoza orodha ya wafungaji akiwa…