Zelensky Aonya Vita vya Mashariki ya Kati Vinaweza Kuathiri Ulinzi wa Anga wa Ukraine
Rais wa Volodymyr Zelensky ameonya kuwa mzozo unaoendelea katika Mashariki ya Kati unaweza kuathiri moja kwa moja uwezo wa Ukraine kujilinda dhidi ya mashambulizi ya Urusi, hasa katika upatikanaji wa makombora ya ulinzi wa anga. Akizungumza na gazeti la Italia Corriere della Sera, Zelensky alisema kuna hatari ya washirika wa Ukraine kuelekeza rasilimali zao katika…