Admin

Kitila: Serikali inataka kuwafuata watu popote walipo kidijitali

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo katika kuhakikisha ulimwengu wa kidijitali unamfikia kila Mtanzania amesema lazima watu wawezeshwe bila kusahau ushirikiano wa sekta binafsi, miundombinu na sera madhubuti. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 jijini Dar es Salaam, kwenye uzinduzi wa ripoti ya ujumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) ya Kampuni…

Read More

Dk Mwinyi kuchukua fomu Agosti 30, wasanii kunogesha

Unguja. Baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutoa ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu, mtiania urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi anatarajia kuchukua fomu Agosti 30, 2025. Siku hiyo baada ya kuchukua fomu, Dk Mwinyi ambaye ndiye Rais wa Zanzibar anayemaliza awamu ya kwanza ya utawala wake, atazungumza na…

Read More

Gavana wa Benki Kuu agoma kufukuzwa kazi na Trump

Washington. Gavana wa Benki Kuu ya Marekani, Lisa Cook, ameanzisha mvutano na Rais Donald Trump kwa kukataa kuondoka kwenye wadhifa wake baada ya rais huyo kutangaza kumfukuza kazi. Mvutano huo umetokea baada ya jana Jumatatu Agosti 25, 2025 Rais Trump kutangaza amemfukuza kazi Cook kwa sababu maalumu ikiwamo kutaka benki hiyo ipunguze viwango vya riba….

Read More

MHANDISI MUTASINGWA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE BUKOBA MJINI, AAHIDI KUTEKELEZA MURADI YA WATANGULIZI WAKE

Na Diana Byera, Bukoba. MGOMBEA ubunge Jimbo la Bukoba mjini Mhandisi Johnston Mutasingwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo huku akiahidi kutekeleza miradi mikubwa yote iliyoachwa na watangulizi wake Akizungumza baada wa kuchukua fomu hiyo Mhandisi Mutasingwa amewataka Wanaccm kuwa wamoja na kuvunja makundi yote ili washirikiane kunadi sera za…

Read More

Katibu wa CCM Wilaya ya Mkuranga afariki dunia

Tanga. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga. Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Katibu wa CCM, Wilaya ya Handeni, Mayassa Kimbau leo Jumanne Agosti 26, 2025 kupitia mitandao ya kijamii na kueleza Kikweo amefariki dunia…

Read More

Chrome City Yapagawisha Hustlers Kariakoo na Manzese Kuelekea Uzinduzi Agosti 30, Tanganyika Packers – Kawe.

Mishemishe na harakati za Kariakoo na Manzese zilinoga kipekee kwa ‘vibe’ la aina yake jana baada ya timu ya Chrome City kuingia mtaani kuungana na mashujaa halisi wa uchumi wa mijini Tanzania – hustlers. Kuanzia waendesha bodaboda, mama lishe, wauzaji wa nguo, wauzaji wa vifaa vya umeme, mpaka wauza matunda – kampeni hii inawatambua na…

Read More