
Kitila: Serikali inataka kuwafuata watu popote walipo kidijitali
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo katika kuhakikisha ulimwengu wa kidijitali unamfikia kila Mtanzania amesema lazima watu wawezeshwe bila kusahau ushirikiano wa sekta binafsi, miundombinu na sera madhubuti. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 jijini Dar es Salaam, kwenye uzinduzi wa ripoti ya ujumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) ya Kampuni…