Admin

Vodacom kuwapa kipaumbele zaidi watu ushirikiano ESG

Dar es Salaam. Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuweka watu mbele katika utekelezaji wa ushirikiano wake wa mfumo wa Mazingira, Jamii, na Utawala Bora (ESG). Hayo yamebainishwa leo Jumanne, Agosti 26, 2025 kwenye uzinduzi wa mfumo jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania…

Read More

Othman: Lengo letu ni amani ya kudumu Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema malengo ya chama hicho ni kuifanya Zanzibar kuwa na amani na utulivu wa kudumu na siyo kuishia kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Masoud ameyasema hayo jana, Jumatatu Agosti 25, 2025 alipozungumza na ujumbe wa kamati ya mambo ya nje ya Bunge la Marekani,…

Read More

Profesa Kitila: Mimi ni mtumiaji mzuri Vodacom na Mwananchi

Waziri wa Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema anaziheshimu na kuzithamini kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa umuhimu wake kijamii na kitaifa.  Katika kuthibitisha hilo amesema yeye ni ni msomaji mzuri wa habari zinazotolewa na kampuni ya Mwananchi kila uchwao na pia ni mtumiaji wa Vodacom…

Read More

Penalti zaibeba Miembeni Yamle Yamle Cup

MIEMBENI imefuzu robo fainali ya michuano ya Yamle Yamle Cup inayoendelea kisiwani Unguja kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Welezo City. Mchezo huo uliopigwa jana Jumatatu saa 12:30 jioni kwenye Uwanja wa Mao A, dakika tisini matokeo yalikuwa sare ya mabao 2-2. Wakasa Mbaraka aliitanguliza Miembeni kwa kufunga mabao mawili dakika ya 2 na…

Read More

SportPesa Tanzania yasaini upya udhamini wa Yanga: Mashabiki waupokea kwa shangwe ushirikiano huu mkubwa

Harakati kubwa kwenye anga la michezo nchini Tanzania ni huu si uvumi tu, bali ni uthibitisho wa dhamira ya kweli. Kupitia SportPesa Tanzania, kampuni inayoongoza michezo ya kubashiri kidijitali barani Afrika, imeimarisha nafasi yake si tu kwenye uwanja wa burudani, bali pia kwenye mustakabali wa soka la Tanzania. Hii ni zaidi ya mkataba; ni makubaliano…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji MCL Rosalynn ahimiza ushirikiano kufikia malengo Dira 2050

Mkurugenzi Mtendaji Mwananchi Communications Limited (MCL), Rosalynn Mndolwa-Mworia amesema ushirikiano ni nguzo muhimu katika dhumuni la ubunifu wa kidijitali, kulinda mazingira yetu na kuwawezesha watu kuelekea mwaka 2050. Ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 26, 2025 kwenye uzindunzi wa mfumo jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania inayoshirikiana na…

Read More

Mrithi wa Kagere aahidi makubwa Namungo

MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, Herbert Lukindo amesema amejipanga vyema kuhakikisha anafanya vizuri na kikosi hicho na kuziba pengo la baadhi ya nyota walioondoka klabuni hapo akiwemo Meddie Kagere. Lukindo amejiunga na Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea KenGold ya Mbeya iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Namungo imesafisha kikosi chake dirisha kubwa ikiachana…

Read More