
Chrome City Yapagawisha Hustlers Kariakoo na Manzese Kuelekea Uzinduzi Agosti 30, Tanganyika Packers – Kawe.
Mishemishe na harakati za Kariakoo na Manzese zilinoga kipekee kwa ‘vibe’ la aina yake jana baada ya timu ya Chrome City kuingia mtaani kuungana na mashujaa halisi wa uchumi wa mijini Tanzania – hustlers. Kuanzia waendesha bodaboda, mama lishe, wauzaji wa nguo, wauzaji wa vifaa vya umeme, mpaka wauza matunda – kampeni hii inawatambua na…