
Mrithi wa Kagere aahidi makubwa Namungo
MSHAMBULIAJI mpya wa Namungo, Herbert Lukindo amesema amejipanga vyema kuhakikisha anafanya vizuri na kikosi hicho na kuziba pengo la baadhi ya nyota walioondoka klabuni hapo akiwemo Meddie Kagere. Lukindo amejiunga na Namungo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea KenGold ya Mbeya iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Namungo imesafisha kikosi chake dirisha kubwa ikiachana…