Watanzania Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Uchaguzi Mkuu Oktoba 29
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), wadau wa kisiasa, na wananchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi kwa amani, uadilifu na uzalendo, ukiopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania. Wito huu umetolewa leo, Oktoba 25, 2025, Jijini Dar es Salaam, na Mkuu wa Ujumbe wa Uangalizi wa Jukwaa…