STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT
Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya CCBRT na kutoa mashine 12 za kushona kwa ajili yakuunga mkono Mpango wa Mabinti, unaolenga kuwawezesha wasichana na wanawake vijana kupitiamafunzo ya ujuzi na programu za urekebishaji wa maisha. Mashine hizo zitatumika katika Kituo…