Admin

STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT

Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya CCBRT na kutoa mashine 12 za kushona kwa ajili yakuunga mkono Mpango wa Mabinti, unaolenga kuwawezesha wasichana na wanawake vijana kupitiamafunzo ya ujuzi na programu za urekebishaji wa maisha. Mashine hizo zitatumika katika Kituo…

Read More

Kinda Mtanzania atimkia Manchester | Mwanaspoti

SAFARI ya kinda wa Kitanzania, Gwakisa Mwakipesile  imeanza kuonja ladha ya ushindani wa soka katika Ligi Kuu ya Vijana England baada ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa walio na umri chini ya miaka 18. Mwakipesile anayekipiga katika timu ya vijana ya Manchester Rose FC alipata nafasi ya kucheza Alhamisi wakati timu hiyo ilipokutana na…

Read More

FURSA MPYA ZA MADINI ZAWAFIKIA VIJANA

-Tume ya Madini yatangaza miradi, maeneo ya uchimbaji na mikopo ya uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2026/2027 Dodoma Tume ya Madini imetangaza mipango ya miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali kwa vijana katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuweka mazingira wezeshi yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika Sekta ya Madini….

Read More

Gamondi: Dar Derby haikuwa ya kiwango cha juu

KOCHA  wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, ambaye alikuwa miongoni mwa watazamaji wa dabi ya Ligi Kuu Bara kati ya Azam na Yanga, amesema mchezo huo haukuwa na kiwango cha kuvutia. Akizungumza baada ya mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gamondi alisema soka kwake ni burudani na mashabiki wanatarajia kuona timu zikishambulia, kutengeneza nafasi na kufunga…

Read More

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sana. Licha ya ute wake, mlenda una faida kubwa kiafya na unashauriwa kuingizwa mara kwa mara kwenye mlo. Hizi hapa ni baadhi ya faida zake muhimu: 1. Huboresha…

Read More