Admin

Sababu Mzize kuikosa Silver Strikers, mabosi Yanga wakuna vichwa

HII inaweza kuwa taarifa mbaya kwa mashabiki wa Yanga, baada ya mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize, kujitonesha jeraha la goti, hali iliyomfanya kuikosa mechi ya leo Oktoba 25, 2025 dhidi ya Silver Strikers. Mzize baada ya kujitonesha jeraha lililokuwa likimsumbua awali ambalo alikuwa amepona na kuelezwa angetarajiwa kucheza leo, sasa huenda akafanyiwa upasuaji mkubwa…

Read More

EAC watuma kikosi kazi kufuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini

Arusha. Uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetuma wajumbe wa uangalizi wa Uchaguzi (EOM) 67 nchini kwa ajili ya kufuatilia mwenendo mzima wa uchaguzi na kusaidia kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unakuwa huru, wa haki na unaoendana na kanuni za kidemokrasia. Waangalizi hao kutoka nchi za EAC wanakuja kutekeleza majukumu hayo wakati Tanzania ikiwa imebakiza…

Read More

Majaji waishukia Polisi kukaa na watuhumiwa zaidi ya saa 24

Bukoba. Mahakama Kuu imeliamuru Jeshi la Polisi nchini, kuwaachia huru watuhumiwa saba inaowashikilia nje ya saa 24 za kisheria, akiwamo Mwenyekiti wa Chadema Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, Chief Adronicus Kalumuna. Katika uamuzi wao, majaji kwa nyakati tofauti wamesema kutoheshimiwa kwa sheria hakuvumiliki, wakinukuu ibara ya 15(1) na (2) ya Katiba ya Tanzania inayokataza mtu…

Read More

Aga Khan kuchunguza bure saratani ya matiti kila Jumamosi

Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa saratani nchini wametoa wito kwa Watanzania, hasa wanawake, kujichunguza mara kwa mara ili kubaini mapema dalili za saratani ya matiti, wakisisitiza kuwa ugonjwa huo unatibika endapo utagundulika mapema. Saratani ya matiti kwa sasa inashika nafasi ya pili kwa wingi wa wanaougua saratani nchini, baada ya mlango wa kizazi na…

Read More

Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi Dar, Zanzibar

Zanzibar. Katika kampeni zake Dar es Salaam na Visiwani Zanzibar mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi mbalimbali zinazolenga kuongeza kasi ya biashara na kukuza uchumi ikiwemo mageuzi mapya ya usafirishaji. Samia ameahidi iwapo atachaguliwa kuendelea kuongoza nchi kwa kipindi kijacho atakamilisha miradi mikubwa…

Read More

TANESCO YAOKOA UPOTEVU WA MAPATO WA SHILINGI BILIONI 1.7 KUPITIA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA NCHINI

*Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu. *Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada ya kusitishiwa huduma Na. Agnes Njaala, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, kufuatia utekelezaji wa zoezi la ukaguzi wa miundombinu…

Read More

MBAWE JOGGING CLUB YAHAMASISHA USHIRIKI WA KURA NA AMANI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Mbawe Mji Mpya Jogging Club imefanya matembezi ya jogging jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza asubuhi hii mara baada ya kumaliza matembezi hayo, Mwanzilishi na Mweka Hazina wa klabu hiyo, Bi…

Read More

Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA

SAN FRANCISCO, MAREKANI : TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda wa Magharibi. Wababe hao ambao walitwaa ubingwa wa NBA (Warriors 2022 na Nuggets 2023), walichuana majuzi katika mchezo wa kusisimua kiasi…

Read More