Admin

Tamko la kihistoria la ugonjwa na afya ya akili, njaa ya Afghanistan inazidi, mzozo wa wakimbizi wa DR Congo – Masuala ya Ulimwenguni

Makubaliano hayo yanaashiria mara ya kwanza kwa serikali kujitolea kushughulikia magonjwa sugu – kama vile ugonjwa wa moyo, saratani na kisukari – pamoja na afya ya akili, kwa kutambua ongezeko lao la maisha na uchumi duniani kote. Futa malengo ya 2030 Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni miongoni mwa visababishi vikuu vya vifo duniani kote, huku…

Read More

Gamondi aivimbia Nigeria AFCON 2025

KOCHA wa Taifa Stars, Miguel Gamondi, amesema hana hofu wala presha na safu ya ushambuliaji ya Nigeria inayoongozwa na nyota wa Galatasaray, Victor Osimhen kwa kueleza anaijenga timu hiyo kwa mfumo na mkakati unaoweza kuhimili presha ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Taifa Stars iliyopangwa Kundi C, itatupa karata yake ya…

Read More

Ishu ya kocha mpya, Simba yarudi tena mezani

SIMBA inakaribia kumaliza mchakato wa kumpata kocha mpya wa kuiongoza timu hiyo baada ya Desemba 2, 2025 kuachana na Dimitar Pantev kwa makubaliano ya pande mbili. Katika mchakato huo wa kusaka kocha, Simba ilikuwa kwenye mazungumzo na Mohamed Sahli raia wa Tunisia ambaye Mwanaspoti linafahamu upande wa bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo ilimtafuta wakitaka…

Read More

Sowah, Kante wafungiwa mechi tano, Yanga yatozwa faini

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah na kiungo wa timu hiyo, Allasane Kante, wamefungiwa kucheza mechi tano kila mmoja kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu waliyofanya dhidi ya Azam FC, Desemba 7, mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo Desemba 16, 2025, imeeleza kuwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More