Admin

MDM yaita wenye makovu kwenye njia ya mkojo

Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Dk Mathias Kimolo ambaye ni daktari bingwa…

Read More

Mtemvu azindua kampeni za Zungu Ilala

MWENYEKITI WA Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abass Mtemvu,amesema wamejipanga vyema kuhakikisha MgombeaUrais Dk.Samia Sukuhu Hassan anapata kura za kishindo mkoani humo. Ameyasema alipokuwa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan Zungu alipo zindua kampeni za CCM katika jimbo la Ilala,Dar es Salaam, Jana. Mtemvu alisema Rais DK. Samia, amefanya mambo makubwa ya utekelezaji…

Read More

KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA ZAZINDULIWA RASMI LEO

Kampeni za Ubunge katika Jimbo la Mchinga, Kata ya Rutamba, zimezinduliwa rasmi leo kwa kushirikisha viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa, kampeni hizo zimezinduliwa rasmi kupitia Mbunge wa Jimbo hilo, Mama Salma Kikwete, akiambatana na mumewe, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, pamoja na wabunge kutoka…

Read More

Kilimo cha viungo chapata msukumo mpya

Nairobi. Wakulima wa mazao ya viungo Tanzania wamepata neema mpya kufuatia uamuzi wa kampuni ya Aavishkaar Capital kuwekeza Dola milioni 5 za Marekani (Sh12.5 bilioni) kwa ajili ya ukuzaji na uchakataji wa mazao hayo ili kukidhi mahitaji ya soko. Katika hafla ya kuelezea mpango huo mwishoni mwa wiki hii, ilielezwa kuwa fedha hizo zitawasaidia wakulima…

Read More

Kocha C.B.E aanza vizingizio | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa michuano ya CECAFA kwa wanawake, CBE FC ilianza kwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda huku kocha wa timu hiyo, Heye Gizaw akileta visingizio. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Ethiopia imepangwa kundi B na Rayon Sports ambayo iko kileleni kwa kundi hilo na Top Girls ambayo hadi sasa…

Read More

Enekia Lunyamila, akiri Mexico ngumu

FC Juarez inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake Mexico, juzi ilikubali kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Pachuca, ukiwa ni mchezo wa tatu kupoteza kwenye mechi 10 walizocheza za ligi. Chama hilo, ambalo wanatumikia Watanzania wawili, Julietha Singano na Enekia Lunyamila, matokeo hayo yameifanya ishuke hadi nafasi ya tisa kwenye msimamo kutoka ya saba, ikiwa na…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu | Mwanaspoti

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More