
MDM yaita wenye makovu kwenye njia ya mkojo
Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Dk Mathias Kimolo ambaye ni daktari bingwa…