
Vodacom inavyojivunia mafanikio ya ESG
Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza mafanikio yake kupitia mfumo wa jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) unaozinduliwa kesho Jumanne, Agosti 26, 2025, huku ikisisitiza kukuza ujumuishi wa kidijitali na kufanya biashara kwa uwajibikaji. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, inayohudumia wateja milioni 22.6 nchini na zaidi ya milioni 211 barani Afrika,…