Wanaodaiwa kuchoma jengo la CCM wana kesi ya kujibu, kujitetea Machi 5
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewakuta na kesi ya kujibu wakazi watatu wa Majohe wanaokabiliwa na kesi ya kuchoma moto jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) Kivule, hivyo wanatakiwa kujitetea Machi 5, 2026. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Machi 2, 2026, na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, baada ya upande wa mashtaka…