Wataalamu wataja sababu za changamoto za afya ya akili kwa wanaume
Tanga. Wataalamu wa afya ya akili wameeleza sababu zinazowafanya wanaume kukumbwa na changamoto za afya ya akili, hali inayochangia baadhi yao kufikia hatua ya kujiua, wakiamini hiyo ndiyo njia pekee ya kupata unafuu. Sababu hizo zimetolewa leo, Jumatatu, Machi 2, 2026, wakati wa warsha ya afya ya akili kwa wanaume iliyowakutanisha wadau mbalimbali mkoani Tanga,…