Admin

SMZ yapokea gawio la Sh10 bilioni kutoka PBZ

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imepokea gawio la Sh10 bilioni kutoka Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ikiwa ni sehemu ya faida iliyopatikana kwa mwaka 2024. Kutokana na kazi zilifanywa na benki hiyo kwa mwaka huo, imefanikiwa kutengeneza faida ya Sh107 bilioni ambapo gawio lililotolewa litaingizwa moja kwa moja katika mfuko wa Serikali….

Read More

Bado Watatu – 3 | Mwanaspoti

““HUMU ndani asiingie mtu yeyote. Tutarudi tena. Sawa?” “Humu ndani mnaishi watu wangapi?” “Ukiacha marehemu ambaye hakuwa na mke wala watoto, tuko familia tatu.” “Mwenye nyumba anaishi hapa hapa?” “Mwenye nyumba hakai hapa.” Nikatoka katika kile chumba pamoja na yule mtu. Polisi walikuwa wametangulia kutoka. Nikamuamrisha yule mtu afunge ule mlango. “Hakikisha hakuna mtu anayeingia…

Read More

TFS YAONGOZA TUZO YA USIMAMIZI BORA WA FEDHA 2025

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kung’ara kitaifa baada ya kutwaa Tuzo ya Usimamizi Bora wa Fedha kwa Taasisi zisizo za Kibiashara 2025, katika Mkutano wa Majadiliano wa Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Serikali (CEOs Forum 2025) uliofanyika jijini Arusha. Tuzo hiyo ilikabidhiwa leo Agosti 24, 2025 na Makamu wa…

Read More

Mavunde: Bila utafiti hakuna mafanikio kwenye sekta ya madini

Dodoma. Serikali imesema, bila kuwekeza katika utafiti hakuna mafanikio yanayoweza kupatikana kwenye sekta ya madini na Taifa halitafaidika nayo. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatatu Agosti 25, 2025 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara ya kisasa ya uchunguzi wa sampuli za madini nchini ambalo linajengwa na Taasisi…

Read More

DKT. NJELEKELA APONGEZA MOI KWA UTOAJI HUDUMA KATIKA KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI ARUSHA

Na Mwandishi wetu- Arusha Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini MOI Dkt. Marina Njelekela ameipongeza menejimenti ya MOI kwa uamuzi wake wa kushiriki na kutoa huduma kwa washiriki wa mkutano wa wenyeviti wa bodi na wakuu wa Taasisi unaofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha. Dkt. Njelekela ametoa pongezi hizo Leo 25/08/2025 alipotembelea eneo la kutolea huduma…

Read More

Mbeya City, Pamba zasaka beki Zenji 

WAKATI Mbeya City ikiendelea na mazungumzo na uongozi wa klabu ya KVZ ili kuondoka na beki wa kikosi hicho, Juma  Hassan Shaaban ‘James’, timu ya Pamba Jiji nayo imetupa kete yake kuitaka saini hiyo. Taarifa ilizozipata Mwanaspoti zinaeleza, Mbeya City ilikuwa ya kwanza kuzungumza na KVZ na kukwamia katika majadiliano ya dau, hivyo kuna uwezekano…

Read More

Sita wauawa, 86 wajeruhiwa shambulizi la mabomu Yemen

Shambulio hilo limefanywa na Jeshi la Israel (IDF) katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa kutumia makombora na ndege zisizokuwa na rubani likilenga kituo cha mafuta na Ikulu. Dodoma. Watu sita wameuwawa  na wengine 86 kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililofanywa na vikosi vya Israel mjini  Sanaa nchini Yemen Jumapili ya Agosti 24, 2025. Al…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More