
Sita wauawa, 86 wajeruhiwa shambulizi la mabomu Yemen
Shambulio hilo limefanywa na Jeshi la Israel (IDF) katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa kutumia makombora na ndege zisizokuwa na rubani likilenga kituo cha mafuta na Ikulu. Dodoma. Watu sita wameuwawa na wengine 86 kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililofanywa na vikosi vya Israel mjini Sanaa nchini Yemen Jumapili ya Agosti 24, 2025. Al…