MARAIS AFRIKA WASHAURIWA KURUHUSU WANANCHI WAO KUFIKISHA MASHTAKA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINAADAM NA WATU
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV Arusha WAKUU wa nchi wanachama wa umoja wa Afrika ambazo bado hazijaridhia itifaki ya uanzishwaij wa mahakama ya Afrika ya Haki za binaadam na Watu(AfCPHR), wametakiwa kuharakisha itifaki hiyo Ili kuruhusu Haki na demokrasia kutendeka katika nchi zao. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mwaka wa mahakama ya Watu na…