Admin

Hofu ongezeko gharama za kupanda ndege Tanzania

Dar es Salaam. Nauli za usafiri wa anga wa kimataifa huenda zikapanda kwa dola 45 (Sh111,250) kwa tiketi ya safari moja na dola 90 (Sh222,500) kwa safari ya kwenda na kurudi, endapo ada mpya itaanza kutumika kama ilivyopangwa. Serikali imepanga kuanza kutoza ada ya uwezeshaji abiria (Passenger Facilitation Fee) kwa wasafiri wote wa kimataifa kuanzia…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi (Mwisho) | Mwanaspoti

“SASA nitapata wapi huduma hizi?” Musa aliponiuliza hivyo nikanyamaza kimya. Baada ya muda kidogo nikamwambia: “Ungekuwa na ndugu yako mwanaume angekusaidia. Mimi mwanamke inakuwa ni taabu kuwa kwenye wodi hii ya wanaume.” Musa alitoa pesa kutoka kwenye begi lake alilokuwa ameliweka mchangoni mwa kitanda chake. “Hizi pesa utatumia,” akaniambia. Nilitaka nimuachie lakini nikaona nizichukue, angeweza…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kuanza Septemba 20

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limetangaza kwamba, Ligi Kuu Soka Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026 inatarajiwa kuanza Septemba 20, 2025. Ligi hiyo inayoshirikisha timu 16 ambapo 12 za Unguja na 4 kutoka Pemba huku bingwa mtetezi ikiwa Mlandege FC, inatarajiwa kufikia tamati Mei 31, 2026. Wakati ligi ikianza Septemba 20, mchezo wa Ngao…

Read More

Mkenya anukia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MABOSI wa Tanzania Prisons wanaendelea kukisuka kimyakimya kikosi hicho kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao na kwa sasa inafanya mazungumzo na aliyekuwa kiungo mkabaji wa KCB ya Kenya, Mkenya Michael Mutinda. Mutinda aliyezaliwa Desemba 27, 1995, ni miongoni mwa mapendekezo ya kocha mpya wa timu hiyo Mkenya mwenzake, Zedekiah ‘Zico’ Otieno, aliyetambulishwa kukiongoza kikosi…

Read More

Majogoro aibuka mazoezi ya KMC, uongozi wafunguka

MUDA mfupi baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa aliyekuwa kiungo mkabaji wa Chippa United ya Afrika ya Kusini, Baraka Majogoro kuhitajiwa na KMC nyota huyo ameibukia mazoezi ya timu hiyo. Majogoro kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Chippa na tayari baadhi ya timu zimeonyesha nia ya kumhitaji ikiwemo KMC. Timu hiyo ikiwa…

Read More

Sababu simu kutumia sana bando bila kujua, fanya hivi kuzuia

Dar es Salaam. Inawezekana simu yako kwa upande wa intaneti ikawa inatumia data (bando) nyingi zaidi bila wewe kufahamu au kutarajia. Baadhi ya watu wanaweza kulalamika wakijiunga vifurushi vinawahi kuisha pengine wasiweze kufahamu, zipo sababu zinazoweza kusababisha simu zao kutumia data nyingi kuliko. Mwananchi kupitia vyanzo mbalimbali vya kurasa za kiteknolojia imekuletea sababu kuu za…

Read More

Uwanja wa Nsekela Kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

Na Diana Byera-Kyerwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama Nsekela Stadium uliojengwa na Abdulmajid Nsekela Mwenyekiti wa taasisi ya Abdulmajid Nsekela Foundation. Akizindua uwanja huo uliojengwa Wilayani Kyerwa katika eneo la Rwenkorongo Mkuu wa Mkoa Mwassa amempongeza Abdulmajid Nsekela mzaliwa wa Kyerwa…

Read More