Admin

Unayopaswa kufahamu kuhusu asili ya makalio makubwa

Dar es Salaam. Kwa baadhi ya wanawake, urembo ni pamoja na kuwa na makalio makubwa, hali ambayo imekuwa kama kipimo kipya cha mvuto wa mwili. Wapo wanaoamini kuwa umbo hilo linavutia zaidi na kuongeza kujiamini, hasa katika zama hizi ambazo mitandao ya kijamii imetawala taswira ya urembo. Ni kutokana na hilo, wapo waliofikia hatua ya…

Read More

Matola, Kapombe waitangazia vita Nsingizini Hotspurs 

KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola na nahodha wa timu hiyo, Shomari Kapombe, wametamba kuendelea kufanya vizuri katika mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Nsingizini Hotspurs. Mechi hiyo ya marudiano itakayopigwa kesho Jumapili Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Simba inaingia ikiwa na…

Read More

Kocha Nsingizini ajipa matumaini kupindua meza kwa Mkapa

KOCHA Mkuu wa Nsingizini Hotspurs, Mandla Qhogi, amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa mabao 3-0, dhidi ya Simba katika mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, ila wana nafasi ya kurekebisha kasoro zilizojitokeza. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mandla, amesema anatambua ugumu uliopo wa kushinda ugenini kwa zaidi ya mabao…

Read More

BASATA YAZINDUA RASMI TUZO ZA TMA

BARAZA La Sanaa (BASATA) lafungua rasmi dirisha la Kupendekeza Kazi za Wasanii katika tuzo za Muziki nchini TMA zinazotarajiwa kufanyika Disemba mwaka huu. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 24,2025 Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Dkt.Kedmon Mapana amesema dirisha la Kupendekeza kazi za Sanaa tayari limefunguliwa hivyo Wasanii wachangamkie fursa hiyo. “Msimu wa…

Read More

REA NYUMBA KWA NYUMBA VITONGOJINI MTWARA

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea na Kampeni ya kuhamasisha wananchi kuunganishiwa umeme sambamba na kuutumia kujiletea maendeleo. Kampeni hiyo inafanyika kupitia njia mbalimbali ikiwemo Mikutano ya hadhara na wananchi vitongojini pamoja na kuwatembelea wananchi nyumba kwa nyumba, taasisi kwa taasisi kuwahamasisha, kuwaelimisha hatua na taratibu za kuvuta umeme na elimu ya ulinzi na utunzaji…

Read More

Hekaya za Mlevi: Usiseme ‘kula’, sema ‘kura’

Dar es Salaam. Kuna makabila au jamii zinazokosa herufi na maneno yanayotumika katika jamii zingine. Kwa mfano Wachina wana herufi zao zinazokosekana kwenye jamii zingine. Maandishi na matamshi yake ni sawa na sanaa ya ajabu kwetu sisi wengine. Lakini wenyewe wamefanikiwa kushikilia bomba wakiwa na sanaa yao mpaka kushawishi wengine wajifunze. Ni kama vile Wamasai…

Read More