MRADI WA FARU MKOMAZI NI WAKUJIVUNIA: MHE MASANJA
…………. Na Sixmund Begashe, Same Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeeleza kuridhishwa na uwekezeji uliofanywa na Serikali katika mradi wa Faru ambao umesaidia kuchechemua ongezeko la watalii katika Hifadhi ya Taifa Mkomazi iliyopo Wilayani same Mkoani Kilimanjaro. Akizungumza kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo, mara baada ya kutembelea na…