
Jamila Rajabu anavyoisaka rekodi ya kiatu CECAFA
HADI sasa mshambuliaji kinda wa JKT Queens, Jamila Rajabu anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick kwenye michuano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya chama lake kuitandika JKU mabao 5-0. Rekodi hiyo inamfanya kuanza kujiwekea nafasi ya kukitafuta kiatu cha ufungaji bora ambacho hadi sasa kinashikiliwa na Fazila Ikwaput wa Kampala Queens….