Chalamila avalia njuga matukio ya utapeli Dar
Dar es Salaam. Kama wewe sio mwenyeji wa Mkoa wa Dar es Salaam na unataka kununua ardhi, magari au kuchukua mkopo wa fedha, chukua tahadhari, kwani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametaja maeneo hayo kuongoza kwa matukio ya utapeli. Chalamila amesema waathirika wakubwa wa migogoro hiyo ya ardhi mkoani humo ni…