Admin

Uwanja wa Nsekela Kujenga mshikamano wa michezo Kyerwa

Na Diana Byera-Kyerwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amezindua rasmi uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu ujulikanao kama Nsekela Stadium uliojengwa na Abdulmajid Nsekela Mwenyekiti wa taasisi ya Abdulmajid Nsekela Foundation. Akizindua uwanja huo uliojengwa Wilayani Kyerwa katika eneo la Rwenkorongo Mkuu wa Mkoa Mwassa amempongeza Abdulmajid Nsekela mzaliwa wa Kyerwa…

Read More

Mabula aendelea alipoishia Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema ligi ya nchi hiyo imeanza kwa kasi na mechi ya kwanza walitoka sare ya 1-1. Mabula ambaye alijiunga na Shamakhi kwa nusu msimu akitokea FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu Serbia alikocheza kwa misimu miwili, alisema tofauti na msimu uliopita, msimu huu karibu…

Read More

Kader aibukia Fountain Gate | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa JKT Tanzania, Ismail Aziz Kader, hivyo kuzipiku timu za Mbeya City, Tanzania Prisons na Pamba Jiji ambazo zote zilionyesha kumuhitaji. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho, zimeliambia Mwanaspoti, Kader amekubaliana maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa miaka miwili wa…

Read More

Majogoro aziingiza vitani KMC, Namungo

BAADA ya kiungo mkabaji, Baraka Majogoro kuachana na Chippa United ya Afrika ya Kusini, mabosi wa Namungo na KMC aliyowahi kuichezea zimeonyesha nia ya kumhitaji, huku ikielezwa miamba hiyo inachuana kwa ajili ya kuipata saini yake. Taarifa ambazo Mwanaspoti ilizozipata, zinaeleza KMC na Namungo zote kwa pamoja zimeonyesha nia ya kumhitaji na jambo kubwa linaloendelea…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia beki Azam FC

BAADA ya beki wa kati wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, Abdallah Kheri ‘Sebo’, kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita msimu wa 2024-25, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kumsajili moja kwa moja. Awali, uongozi wa Azam ulimtoa nyota huyo kwa mkopo kwenda Fountain Gate katika…

Read More

Mmemsikia aliyeivuruga Stars kwa Mkapa

KIUNGO wa Morocco, Mohamed Rabie Hrimat ameweka wazi dhamira ya timu hiyo katika mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 ni kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu. Mara baada ya kuizamisha Tanzania kwa bao 1-0 katika mechi ya robo fainali kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Hrimat alisema mechi hiyo haikuwa rahisi…

Read More

CHAN 2024: Sudan, Algeria vita ilikuwa kati

WANAUME 22 kutoka Sudan na Algeria, walizimwagilia vizuri nyasi za Uwanja wa Amaan Complex, visiwani Zanzibar katika mchezo wa robo fainali wa michuano ya CHAN uliopigwa juzi. Katika mchezo huo ambao dakika 120 zilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu ya kufungana bao 1-1, vita kubwa ilionekana eneo la kati ambalo kwa kiasi kikubwa liliamua mechi…

Read More

Watano Yanga wapewa siku saba

KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu, huku kocha wa timu hiyo, Romain Folz akitoa msimamo mzito ambao mabosi wa klabu wameafikiana nayo. Yanga iliamua kuahirisha…

Read More