Mzee Samagubi alivyonusurika kifo, kaya 720 zikizongwa na maji Turiani
Morogoro. Zaidi ya kaya 700 zimekumbwa na mafuriko baada ya mto Mbulumi kuvunja kingo zake na kuelekeza maji katika makazi ya watu, hali iliyosababisha nyumba zaidi ya 20 kubomoka na wananchi kulazimika kukimbia makazi yao kuokoa maisha. Wananchi walioathirika na mafuriko hayo sasa wanaomba msaada wa haraka wa chakula, mavazi na makazi, pamoja na hatua…