Admin

Panga la CCM lafyeka nusu ya wabunge

Dar es Salaam. Zaidi ya nusu ya wabunge waliomaliza muda wao katika majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), hawatakuwa sehemu ya Bunge lijalo, baada ya kukwama katika michakato ya ndani ya uteuzi wa chama hicho. Katika michakato hiyo ya uteuzi, iliyofanywa na Kamati Kuu (CC) na hatimaye Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), wabunge 133,…

Read More

CCM ilivyopanga upya wawakilishi Zanzibar

Unguja.Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikihitimisha mchakato wake wa ndani wa kuwapata wagombea watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka huu, ni majimbo mawili pekee ambapo wateule walishinda katika kura za maoni, lakini majina yao hayakuteuliwa Zanzibar. Badala yake, majina ya waliokuwa wameshika nafasi ya pili katika mchakato huo ndiyo yameteuliwa kupeperusha bendera…

Read More

‘Kuwarudisha vijana kundini, kibarua kinachomsubiri Kihongosi’

Dodoma. Siku moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kumtangaza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi kuwa Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi na Mafunzo, watu mbalimbali wametaja jukumu kubwa linalomsubiri. Hata hivyo, wachambuzi wa mambo wamemtaja kuwa chaguo sahihi katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 ukizingatia hakuwa…

Read More

Makamba: Uwezo wa Migiro fursa kwa CCM

Dar es Salaam. Mbunge wa zamani wa Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba amesema sifa na uwezo wa Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Mapinduzi ( CCM), Dk Asha Rose Migiro zitakiwezesha chama kuendesha shughuli za kila siku. Jana Jumamosi Agosti 23,2025 wajumbe wa halmashauri Kuu ya CCM walimthibitisha Dk Migiro kuwa katibu mkuu wa chama…

Read More

Julitha Singano wa motoo Mexico

JANA beki wa Kitanzania, Julitha Singano alikiwasha kwenye mechi ya kirafiki kati ya Mexico All Stars na Barcelona Women, mechi iliyomalizika kwa sare ya 2-2. Singano anayekipiga FC Juárez, alikuwa mmoja wa wachezaji 20 wa Ligi ya Mexico waliochaguliwa kucheza mechi hiyo dhidi ya Barcelona, ambayo imekita kambi nchini humo kwa ajili ya maandalizi ya…

Read More

Ambundo ajiandaa kurejea Dodoma Jiji

ALIYEKUWA winga wa Fountain Gate, Dickson Ambundo anakaribia kurejea tena Dodoma Jiji, licha ya awali mabosi wa Mbeya City kufanya mazungumzo na nyota huyo na suala la masilahi binafsi ndilo lilifanya pande hizo kushindwana. Ambundo aliyemaliza mkataba wake na Fountain Gate huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine, alikuwa akiongea na Mbeya City kwa ajili…

Read More

Kumekucha! Aucho aliamsha Singida Black Stars

AWALI ilielezwa kiungo raia wa Uganda, Khalid Aucho alikuwa mbioni kumfuata swahiba wake, Kennedy Musonda huko Israel alikoenda kucheza soka la kulipwa baada ya kumaliza mkataba na Yanga, lakini mwamba huyo alibadilisha gia angani. Aucho aliyeitumikia Yanga kwa misimu minne mfululizo, alimaliza mkataba…

Read More

Haya hapa yanayomsubiri Dk Migiro ofisi ya Katibu Mkuu

Dodoma/Dar. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikimtangaza Balozi Dk Asha-Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wake mpya, wadau mbalimbali wametaja majukumu makubwa yanayomsubiri kiongozi huyo, likiwamo la kuirejesha imani ya chama hicho kwa wanachama na wananchi wasio wanachama. Miongoni mwa mambo yanayobainishwa kama kibarua kikubwa kwa Dk Migiro ni namna ya kwenda sambamba na kasi ya…

Read More