Admin

CHAN 2024: Kocha Senegal afichua siri ya ushindi

KOCHA wa Senegal, Souleymane Diallo ameeleza maandalizi ya kisaikolojia kwa wachezaji wake na umakini katika utumiaji nafasi vilikuwa nguzo kuu ya ushindi wa timu yake dhidi ya Uganda katika mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024. Senegal ambao ni mabingwa watetezi wa mashindano hayo, walihitimisha safari ya timu ya mwisho ya ukanda wa…

Read More

Mavunde ataka viongozi waombewe | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewataka Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. ‎Uchaguzi mkuu wa kuwapata Rais, wabunge na madiwani unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. ‎Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 24, 2025 jijini Dodoma kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Petro (St….

Read More

Algeria Poised to Fulfill Its African Ambition

By Moses Ntandu Algeria is expecting to host a huge African trade fair known as the Intra-African Trade Fair (IATF, intending to shine the Africa all over the world. The fair will be of four days commencing from September 4th to 10th, where by the the Algerian capital will become the epicenter of African trade. …

Read More

Kriketi Tanzania yapania Kombe la Dunia T20

TIMU ya Taifa ya Kriketi ya Tanzania, imeanza mkakati wa kuitafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia ya mizunguko 20 (T20) inayoanza mwishoni wa juma, mjini Windhoek, Namibia. Tanzania iliibuka na ubingwa wa michuano ya kumbukumbu ya Kwibuka nchini Rwanda, baada ya kuifunga Zimbabwe katika fainali, huku Uganda ikishika nafasi ya tatu. Ikiwa na wachezaji…

Read More

DC aagiza gereza kuanzisha miradi ya kujitegemea

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Naano, amelitaka Gereza la Maswa kuanzisha miradi mbalimbali ya uzalishaji mali ili liweze kujitegemea na kupunguza utegemezi kwa Serikali. Dk Naano ametoa  maagizo hayo leo Jumapili, Agosti 24,2025  kwa mkuu wa gereza hilo, Mrakibu wa Magereza, Omari Mbwambo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 64…

Read More

FBSS, Lulanzi mabingwa Inter School Sports Bonanza

Timu ya mpira wa kikapu ya FBSS na ile ya soka ya Lulanzi zimetawazwa kuwa mabingwa katika mashindano ya 13 ya Inter School Sports Bonanza. Mashindano hayo yaliyofanyika Agosti 22, 2025 yalifanyika kwenye viwanja vya Filbert Bayi, mjini Kibaha yakishirikisha shule za Filbert Bayi (FBS) na shule jirani ikiwamo ya Lulanzi, Mkuza na Mwanalugali. Katika…

Read More

Dk Mpango: Dhibitini ubadhirifu wa mali za umma

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewaagiza wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi na mashirika ya umma nchini, kudhibiti upotevu na ubadhirifu wa rasilimali za umma pamoja na kuimarisha usimamizi wa mikataba ili kuunda mazingira ya ushindani. Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumapili Agosti 24, 2025, kwa niaba ya Rais Samia…

Read More

Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi

Arusha. Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma, kilichofunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, jijini Arusha,…

Read More