Aarafi ateuliwa kuiongoza Iran kwa muda
Tehran. Mwanazuoni wa Kishia na mjumbe wa Baraza la Walinzi, Alireza Arafi, amechaguliwa kuwa mwakilishi wa wanazuoni wa sheria katika Baraza la Uongozi la Muda la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, chombo kinachotarajiwa kushika majukumu ya kiongozi mkuu hadi atakapoteuliwa mrithi rasmi. Uteuzi huo umefanywa na Baraza la Utambuzi kufuatia taarifa za kuthibitishwa kwa kifo…