Admin

Wasaini kanuni za maadili wakikumbushwa kuzingatia wajibu

Unguja. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amezitaka pande tatu zinazohusika katika mchakato wa uchaguzi kuzingatia maelekezo ya kanuni za maadili ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, unafanyika kwa amani, haki na mshikamano. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Agosti 24, 2025, katika ofisi kuu za ZEC Maisara,…

Read More

Sura mbili waume kuwazuia wake kufanya kazi

Dodoma. Juzi nilikutana na mjadala mkali nisioutarajia maeneo ya Posta jijini Dar. Nilikuwa nikisafisha viatu katika kijiwe kimoja kinachowakutanisha watu wengi wanaopenda kujadili masuala kadhaa wakisubiri huduma hiyo. Mjadala wenyewe ulianzishwa na mzee mmoja, mtumishi wa umma, anayeonekana kukaribia kustaafu. Mzee alimlalamikia mkwe wake kwa kumnyanyasa mwanawe. …

Read More

Samia amjengea nyumba Bibi Catherine na wajukuu zake sita

Bukoba. Serikali imemkabidhi nyumba mpya Catherine Nathahiel pamoja na wajukuu zake sita, baada ya kupoteza makazi yao kufuatia mafuriko yaliyoikumba Manispaa ya Bukoba, Mei 10, 2024. Nyumba hiyo imejengwa kwa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan kama sehemu ya ahadi yake ya kuwasaidia waathirika wa maafa hayo. Mafuriko hayo yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa…

Read More

TAASISI ZA UMMA TEKELEZENI SHERIA YA MAZINGIRA

  Meneja wa Maeneo Maalumu na Mabadiliko ya Tabianchi, kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),Dkt. Careen Anatory Kahangwa,akizungumza wakati wa semina ya mafunzo kuhusu nyenzo za usimamizi wa mazingira, chini ya Mradi wa Kuimarisha Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira (EMA), iliyofanyika kwa ajili ya taasisi za umma kwa niaba ya…

Read More

Wafanyikazi wa Afya na Msaada Wanaolenga Migogoro Ulimwenguni Pote, Shirika la UN linasema – Maswala ya Ulimwenguni

Mashambulio dhidi ya vituo vya afya viliongezeka mara mbili kati ya 2023 na 2024, na zaidi ya wafanyikazi wa afya 900 waliuawa mwaka jana, shirika hilo liliripoti. Wafanyikazi wa misaada ya kibinadamu pia waliuawa kwa idadi ya rekodi mnamo 2024. Bado, 2025 inazidi hata takwimu hizi za giza wakati ambao ufadhili wa kazi ya kibinadamu…

Read More

Wawili waliokiri kuua bila kukusudia jela miaka 20

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Sumbawanga, imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 Anderson Luhozya na Habona Antony  baada ya kukiri kuua bila kukusudia. ‎Wakati Mahakama hiyo  ikiwahukumu adhabu hiyo,  imemuachia huru Maliki Nestory, kwa masharti ya kuwa chini ya usimamizi wa baba yake mzazi Nestory Telemka kwa kipindi cha miaka miwili bila kutenda…

Read More

Wazazi chungeni watoto wasiwaharibie ndoa

Canada. Japo watoto ni neema katika ndoa, wana changamoto tena nyingi tu. Si watoto tu. Hata mafanikio yawe ya elimu na mali, vyote vina changamoto zake. Katika kuzingatia na kulijua hili, leo, tutadurusu visa viwili vilivyowaletea changamoto na mtihani wanandoa karibia wakosane kutokana na kuharibika au kuharibikiwa kwa watoto wao. Katika kisa cha kwanza binti…

Read More

Unavyoweza kumlea mtoto wa kambo

Malezi ya mtoto wa kambo ni moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wazazi wa kisasa, hasa katika familia zilizoanzishwa baada ya ndoa ya kwanza au baada ya  wazazi wa awali kuachana.  Mtoto wa kambo si wako kidamu, lakini kwa mazingira ya ndoa au uhusiano, unahusika moja kwa moja katika malezi yake.  Haha hivyo, kumlea mtoto wa…

Read More

WASHINDI 40 WA AWAMU YA PILI KAMPENI YA KIDIGITALI ‘’MIAMALA NI FURSA ’’ YA BANK OF AFRICA TANZANIA WAZAWADIWA

Na Mwandishi Wetu WATEJA 40 wa Bank of Africa Tanzania, wamefanikiwa kujinyakulia ushindi wa shilingi 50,000 kila mmoja wao kupitia kampeni ya kupata huduma za kibenki kwa njia ya kijidigitali inayojulikana kama “Miamala ni Fursa, iliyozinduliwa miezi miwili iliyopita. Kampeni hii ya miezi mitatu iliyoanza Juni 4, 2025 imelenga kuhamasisha wateja wa benki kutumia huduma…

Read More

Dk Kigwangalla awaaga wananchi, ajipigia chapuo

Dar es Salaam. Baada ya kuhudumu kwa miaka 15 akiwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Hamis Kigwangalla amewaaga wananchi wa Nzega akiwataka kutoa ushirikiano kwa mwakilishi wao mpya. Dk Kigwangalla ni miongoni mwa waliokuwa wabunge kwenye Bunge la 12 ambao michakato ya ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), imewaweka kando…

Read More