Admin

Naisae Yona Atwaa Taji la Miss Universe Tanzania 2025

Humphrey Shao, Michuzi tv Mrembo Naisae Yona (28) amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Tanzania 2025 mara baada ya kuwashinda warembo wengine 15 waliokuwa wakichuana naye. Mashindano hayo yalifikia kilele usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Super Dome Masaki, jijini Dar es Salaam, ambapo Naisae aliibuka mshindi wa jumla na kupewa heshima ya kupeperusha…

Read More

Simba Misri pamoto! | Mwanaspoti

KUNA mambo flani yanasonga pale Msimbazi yalipo makao makuu ya Klabu ya Simba, ambapo vigogo wanapambana kuweka mambo sawa, kwani kuna mastaa ambao zipo kila dalili kwamba wanapaswa kusepa huku wengine ambao hawajaripoti wakitakiwa kutua kikosini. Kumbuka wanaotakiwa kusepa ni baadhi ya wale…

Read More

Ni Sudan, Madagascar nusu fainali CHAN Kwa Mkwapa

BAADA ya kushindwa kupata mshindi ndani ya dakika 120, Sudan na Algeria zimelazimika kwenda katika changamoto ya mikwaju ya penalti ili kuamua mshindi wa mechi na hatimaye Sudan kuibuka kwa penalti 3-2. Katika mchezo huo wa robo fainali ya CHAN uliopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar dakika 90 zimemalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu…

Read More

Dk Migiro Katibu Mkuu mpya CCM

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiteua wagombea ubunge na uwakilishi watakaopeperusha bendera yake katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, pia kimemteua Dk Asha-Rose Migiro kuwa katibu mkuu wake mpya. Uteuzi huo umetangazwa leo Agosti 23, 2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, makao makuu ya CCM, jijini Dodoma ikiwa…

Read More

Mjadala kutokomeza ukatili kijinsia kufanyika Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa saba wa viongozi mbalimbali duaniani kuhusu miji na maeneo salama ya umma, mjadala mkuu ukilenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Maeneo mengine yatakayojadiliwa ni namna ya kuanzisha na kuendeleza miji inayotumia teknolojia ya kisasa, kukuza utalii, biashara na uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa…

Read More