Admin

RAIS DKT.DKT. SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAASISI YA KIMATAIFA YA KEEP A CHILD ALIVE IKULU, JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Keep a Child Alive, Antonio Ruiz-Giménez Jr. na Ujumbe wake pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Bi. Doris Mollel, tarehe 1 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine mazungumzo hayo yalijikita…

Read More

Wakulima wa kahawa Mbinga, wapata tumaini jipya

Mbinga. Wakulima wa zao la kahawa katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wameanza kushuhudia ongezeko la tija, ubora na bei ya zao hilo, hali inayochochea matumaini mapya ya kuinua uchumi wa kaya na vijiji kwa ujumla. Mathalani, msimu wa mwaka jana, bei ya kahawa ilipanda kutoka wastani wa Sh7,000 hadi zaidi ya Sh11,000 kwa kilo…

Read More

SBL Yazindua Rasmi Serengeti Premium Apple, Kinywaji Ambacho Kimetengenezwa Tanzania

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania. Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa, iliyobuniwa…

Read More

CHONGOLO ASISITIZA ULINZI MRADI WA UMWAGILIAJI MKOMBOZI KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE

 NIRC Iringa Waziri wa Wizara ya Kilimo, Daniel Chongolo, amesisitiza ulazima wa kulindwa kwa Mradi wa Umwagiliaji Mkombozi uliopo Pawaga mkoani Iringa, akieleza kuwa uwekezaji huo wa serikali unalenga kuongeza uzalishaji wa mpunga, kuinua kipato cha wakulima na kuchangia usalama wa chakula kwa manufaa ya Watanzania wote. Chongolo ameyasema hayo Februari 27 baada ya kutembelea…

Read More

WAZIRI MKUU AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI KUANDAA JEDWALI LA UTEKELEZAJI UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara. Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu…

Read More

WANAWAKE MABACHELA WAITWA KUCHUKUA FOMU YA KULIPIWA MAHARI

 Taasisi ya Al-Hikma imetangaza mpango wa kulipia mahari kwa vijana 130 walio tayari kuoa katika mwaka huu.  Akizungumza leo Machi 1, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan yaliyoandaliwa na taasisi hiyo, Mratibu wa taasisi hiyo Nurdin Sheikh Kishki amesema kuwa lengo ni kuwawezesha vijana kuingia kwenye ndoa kwa urahisi…

Read More