Admin

Sh21.9 bilioni kuibadilisha Mpanda | Mwananchi

Katavi. Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, wanatarajia kunufaika na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii kupitia utekelezaji wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (Tactic). Mradi huo utagharimu Sh21.9 bilioni na utatekelezwa chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Hayo yameelezwa leo Jumapili, Oktoba 26, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua…

Read More

TMA YATOA TAHADHARI YA MVUA KATIKA MIKOA SABA

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa katika mikoa saba inayotarajiwa kunyesha kuanziq kesho. Mvua hiyo inatarajiwa katika katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (pamoja na visiwa vya Mafia), Morogoro na Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa ya TMA, hali kama hiyo pia…

Read More

Kocha Mreno atua Yanga na mifumo mitatu

YANGA inarudi kambini leo haraka na wachezaji wa timu hiyo wakifika tu AVIC Town watakutana na kocha wao mpya, Pedro Goncalves, akiwa anawasubiri tayari kwa kuanza kazi. Yanga itakuwa kwenye mazoezi ya kwanza tangu ifuzu makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini mazoezi hayo yatakuwa pia ya kwanza chini ya kocha wao huyo Mreno aliyetua…

Read More

RAIS SAMIA APOKEA TUZO YA MAJI DUNIANI

 ::::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo ya Presidential Global Water Changemakers 2025 ambayo alitunukiwa tarehe 13 Agosti, 2025 Cape Town, nchini Afrika Kusini.  Tuzo hiyo iliwasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 26…

Read More

Rotary yafanya matembezi ikiadhimisha Siku ya Polio Duniani

Dar es Salaam. Wanachama wa Rotary Club ya Mikocheni jijini Dar es Salaam, wakishirikiana na wenzao wa Rotaract, wameadhimisha Siku ya Polio Duniani 2025 kwa kufanya matembezi ya uhamasishaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Matembezi hayo yamelenga kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo na kuunga…

Read More

OMO ahitimisha kampeni Zanzibar, akifanya mikutano 75

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo visiwani Zanzibar, Othman Masoud Othman, amehitimisha kampeni zake, akijivunia kufanya mikutano 75 tangu alipoanza. Ameitumia hotuba yake ya kuhitimisha kampeni hizo kwa kutoa shukrani na pongezi kwa makundi mbalimbali, likiwamo Jeshi la Polisi na Jeshi la Wananchi wa Tanzania, kwa kuendelea kuimarisha ulinzi katika…

Read More

KMC, Maximo lolote linaweza kutokea

BAADA ya KMC kupoteza mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo, anakabiliwa na presha kubwa ya kuondolewa katika benchi la ufundi la kikosi hicho licha ya matarajio makubwa aliyopewa tangu mwanzo. Maximo aliyejiunga na KMC msimu huu, amekalia kuti kavu ndani ya kikosi hicho baada ya juzi…

Read More