Admin

UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO WAANZA JIJINI ARUSHA

  ■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini. ■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo wa madini thamani. ■Waziri Mavunde amtaka mkandarasi kuongeza nguvukazi kukamilisha mradi kwa wakati. ▪️Atoa siku 7 kwa Katibu Mkuu kukutana na wakandarasi,TGC na Taasisi za serikali kwa ajili ya upatikanaji vibali muhimu vya kuendeleza…

Read More

Kalamba Games Yafungua Milango ya Burudani Meridianbet

KUNA wakati mchezo wa sloti unageuka kutoka burudani ya kawaida na kuwa safari, na safari hiyo inaanza leo pale Meridianbet kupitia ujio wa Kalamba Games. Hawa ni wabunifu ambao hawafanyi michezo tu, wanaumba ulimwengu unaojengwa kwa muonekano mzuri, mwendo laini na ubunifu unaokusukuma kutaka kuendelea kucheza. Kwa kila mchezo wanaotoa, wanaongeza viwango vipya vya msisimko kwenye jukwaa la…

Read More

Ijumaa ya Kibingwa Imefika Ndani ya Meridianbet

SIKU ya leo unaweza kuanza Wikendi yako vyema kabisa kwa kubashiri mechi zote hapa na Meridianbet. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwaajili yako leo. LALIGA kutakuwa na mechi moja ya kubashiri ambapo Real Sociedad atakipiga dhidi ya Girona ambao mechi ya mwisho kukutana, mgeni alipoteza hivyo leo hii anataka kulipa kisasi akiwa…

Read More

BALOZI MULAMULA AMLILIA JENISTA MHAGAMA

::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Africa kuhusu Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula, amesema amepokea kwa masikitiko makubwa na mshtuko taarifa za kifo cha Mhe. Jenista Mhagama huku akisema ni pigo kubwa sana kwa nchi yetu na jamii ya Watanzania kwa ujumla. Akizungumza na Mwandishi wetu leo, amesema Taifa limepoteza mwanamke jasiri na…

Read More

Chongolo: Miradi yote ya umwagiliaji itakamilika, Tume mjipange

Mtwara. Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema Serikali itakikisha miradi yote ya umwagiliaji inakamilika na kuleta tija kwa wakulima hali itakayoimarisha uchumi na kuleta uhakika wa chakula Chongolo amesema hayo leo Ijumaa, Desemba 12, 2025 wakati wa ziara yake katika mradi wa mmwagiliaji uliopo wilayani Masasi, mkoani Mtwara unaotekelezwa eneo la Ndanda na Tume ya…

Read More

Maji kizungumkuti, Dawasa yataja mkakati

Dar es Salaam. Wananchi wakiendelea kulalamikia changamoto ya upatikanaji wa huduma majisafi na salama inayoathiri mfumo wa maisha ya baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam, Serikali imeagiza maji yaliyopo yagawanywe kwa usawa. Vilevile, imeagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (Dawasa) kuweka wazi ratiba ya mgawo wa maji ili watu…

Read More

MAGEUZI YA STAKABADHI ZA GHALA YAONGEZA TIJA KWA WAKULIMA

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga,akizungumza wakati akizindua Bodi mpya ya Wakurugenzi wa WRRB) hafla iliyofanyika leo Disemba 12,2025 jijini Dodoma. ……. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amesema Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeleta mageuzi makubwa katika Biashara ya mazao nchini katika kipindi…

Read More