Profesa Mkenda aahidi kituo cha forodha Tarakea kufanya kazi saa 24
Rombo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Adolf Mkenda ameahidi kuwa endapo ataaminiwa tena na wananchi kuendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano, atahakikisha kituo cha forodha cha Tarakea kinafanya kazi saa 24 ili kurahisisha biashara za mpakani na kukuza uchumi wa eneo hilo. Akizungumza leo Jumapili, Oktoba…