Ufinyu wa bajeti unavyoathiri ujifunzaji sayansi kwa wanafunzi – 2
Rombo/Lushoto. Ufinyu wa bajeti umetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zinazochangia uhaba wa maabara za sayansi katika shule nyingi za sekondari za nchini. Licha ya jitihada za Serikali kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa muda mrefu, mgawo mdogo wa fedha katika sekta ya elimu umeendelea kuwa kikwazo katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya maabara. Hali…