
Kilimo cha viungo chapata msukumo mpya
Nairobi. Wakulima wa mazao ya viungo Tanzania wamepata neema mpya kufuatia uamuzi wa kampuni ya Aavishkaar Capital kuwekeza Dola milioni 5 za Marekani (Sh12.5 bilioni) kwa ajili ya ukuzaji na uchakataji wa mazao hayo ili kukidhi mahitaji ya soko. Katika hafla ya kuelezea mpango huo mwishoni mwa wiki hii, ilielezwa kuwa fedha hizo zitawasaidia wakulima…