Marekani yaziondolea viza nchi 15 ikiwamo Tanzania kuingia nchini humo
Dar es Salaam. Katika mwendelezo wa Sera za Rais wa Marekani, Donald Trump katika kuzidisha vikwazo kwa wahamiaji nchini humo, Marekani imeondoa viza kwa mataifa mengine 15, ikiwamo Tanzania kuzuiwa kuingia nchini humo. Zuio hilo limelenga makundi yaliyoainishwa na Taifa hilo yakiwamo viza B-1 inayohusu wageni wa kibiashara, viza B-2 inayohusu wageni wa kutalii, viza-…