Admin

KITILA AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI UBUNGO

Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais–Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akimzungumza wakati wa hafla ya Iftar iliyoandaliwa na Ofisi ya Mbunge kwa kushirikiana na Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC) ****** Na Mwandishi Wetu. Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya…

Read More

MPANDA- KIGOMA KUUNGANISHWA KWA LAMI

****** Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imedhamiria kuufungua mkoa wa Katavi kwa barabara za lami ili kuchochea uchumi wa mikoa ya kanda ya magharibi. Akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Mlele mkoani Katavi Dkt. Nchemba amesema nia ni kurahisisha huduma za usafiri na uchukuzi ili kukuza uchumi wa wananchi katika mwambao wa ziwa…

Read More

Alliance ipo sokoni ikitafuta kocha

ALLIANCE Girls imeingia kambini rasmi Ijumaa kuanza maandalizi ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania inayotarajiwa kurejea April 03, huku uongozi wa timu hiyo ukianza mchakato wa kusaka kocha mkuu mpya atakayeiongoza kikosi hicho katika mzunguko wa pili. Mabadiliko hayo yanafanyika katika benchi la ufundi kufuatia aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Sultan Juma kuondoka baada…

Read More

Sio Ibenge wala Pedro Dar es Salaam Dabi

LICHA ya kushuka dimbani ikiwa na safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na washambuliaji hatari wa Ligi Kuu Bara kwa sasa, Depu na Prince Dube, wenye jumla ya mabao 12, Yanga imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya lango baada ya kutopiga hata shuti moja lililolenga lango la Azam FC katika mchezo uliomalizika kwa suluhu. Mchezo huo…

Read More

Sio Ibenge wala Pedro Daresalaam Dabi

LICHA ya kushuka dimbani ikiwa na safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na washambuliaji hatari wa Ligi Kuu Bara kwa sasa, Depu na Prince Dube, wenye jumla ya mabao 12, Yanga imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya lango baada ya kutopiga hata shuti moja lililolenga lango la Azam FC katika mchezo uliomalizika kwa suluhu. Mchezo huo…

Read More

Serikali kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu

  -Kamati yaridhishwa na ujenzi Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga Na Mashaka Mhando, Mkinga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo ule wa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kuchochea utafiti na ubunifu utakaosaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi….

Read More

WAZIRI NANAUKA -SERIKALI ITAENDELEA KUVIPA KIPAUMBELE VIKUNDI VINAVYOREJESHA MIKOPO

Na Oscar Assenga,Muheza, Tanga Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema serikali itaendelea kuvipa kipaumbele vikundi vya vijana vinavyoonyesha uwajibikaji kwa kurejesha mikopo wanayopewa ili viweze kukuza shughuli zao za kiuchumi. Nanauka aliyasema hayo leo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya…

Read More

Badili mazingira kuacha tabia usiyoipenda

Nilipoanza mkakati wa kuacha kutia sukari kwenye chai au kahawa, haikuwa kazi nyepesi. Kwa muda mrefu, kitendo cha kujaribu kuacha kilikuwa kama adhabu fulani hivi kwangu. Ningeweza, mathalani, kujitahidi kuacha sukari kwa siku kadhaa lakini baadae ningejikuta nikijiambia, ‘acha nitumie sukari leo kwa mara ya mwisho. Kesho nitaendelea na mpango wangu.’ Haikuwa sukari pekee. Kwa…

Read More

Manusura ajali ya boti Kigoma, wafunguka

Kigoma. Majeruhi walionusurika katika ajali ya boti iliyouwa saba, wakiwemo watumishi wanne wa idara ya afya mkoani Kigoma, wamesimulia mkasa mzima hadi kutokea kwa tukio hilo. Ajali hiyo, ilitokea Machi 13, 2026 katika Kijiji cha Kalalangabo ndani ya Ziwa Tanganyika, saa 2 asubuhi na mwili wa mtu mmoja hadi sasa bado haujapatikana. Majeruhi hao, wametoa…

Read More