Admin

REA NYUMBA KWA NYUMBA VITONGOJINI MTWARA

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unaendelea na Kampeni ya kuhamasisha wananchi kuunganishiwa umeme sambamba na kuutumia kujiletea maendeleo. Kampeni hiyo inafanyika kupitia njia mbalimbali ikiwemo Mikutano ya hadhara na wananchi vitongojini pamoja na kuwatembelea wananchi nyumba kwa nyumba, taasisi kwa taasisi kuwahamasisha, kuwaelimisha hatua na taratibu za kuvuta umeme na elimu ya ulinzi na utunzaji…

Read More

Hekaya za Mlevi: Usiseme ‘kula’, sema ‘kura’

Dar es Salaam. Kuna makabila au jamii zinazokosa herufi na maneno yanayotumika katika jamii zingine. Kwa mfano Wachina wana herufi zao zinazokosekana kwenye jamii zingine. Maandishi na matamshi yake ni sawa na sanaa ya ajabu kwetu sisi wengine. Lakini wenyewe wamefanikiwa kushikilia bomba wakiwa na sanaa yao mpaka kushawishi wengine wajifunze. Ni kama vile Wamasai…

Read More

Polisi: Mchungaji Mtaita hakutekwa, tunamshikilia kwa uchochezi

Babati. Jeshi la Polisi mkoani Manyara, linamshikilia mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Boay wilayani Babati, Eleth Mtaita akidaiwa kufanya uchochezi. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi leo Kumamosi Oktoba 25 mwaka 2025, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani amesema mchungaji huyo hakutekwa, bali alikamatwa jana…

Read More

Mastaa Coastal Union wamepewa siku za saba

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya ametoa siku saba za mapumziko kwa wachezaji wake kwa lengo la kwenda kupiga kura, pia kutoa nafasi kwa wachezaji kusalimia familia zao kabla ya kuvaana na Yanga Desemba 10 mwaka huu. Muya alijiunga na timu hiyo akichukua mikoba ya Ali Muhammed Ameir, ameiongoza katika mbili akiambulia pointi mbili,…

Read More

Kocha Dodoma aomba siku 21 kufanya jambo

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah amesema bado anaamini ubora wa wachezaji wake lakini akaitaja ratiba ya mechi ya Ligi Kuu Bara ni kikwazo kwake kubadili mambo huku akizitaja siku 21 ndani ya klabu hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah amesema baada ya kutua Dodoma Jiji, bado hajapata muda mwafaka wa kuingiza falsafa zake kutokana…

Read More

Matokeo ya mechi za bure Yanga katika CAF

YANGA jioni ya leo Jumamosi inashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kurudiana na Silver Strikers ya Malawi katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika mechi ya kwanza wikiendi iliyopita Yanga ililala bao 1-0 na leo inahitaji ushindi wa zaidi ya bao mbele ya wapinzani wao ili itinge makundi…

Read More