Mkuu wa Haki za Binadamu UN apongeza kuundwa Tume ya matukio ya Oktoba 29
Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, ameipongeza Tanzania kwa kuunda tume ya kuchunguza matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika kikao cha 61 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Geneva, Uswisi, jana Februari 29, 2026,…