
WANANCHI MBAGALA WANASWA KWA WIZI WA UMEME TANESCO
…………….. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke limewakamata baadhi ya wateja wake katika eneo la Mbagala Zakhiem kwa tuhuma za wizi wa nishati ya umeme pamoja na uharibifu wa miundombinu, ikiwemo kuharibu mifumo ya LUKU jambo ambalo ni kinyume cha sheria na taratibu za matumizi ya umeme. Akizungumza Agosti 22, 2025 jijini Dar…