Admin

WAZIRI MKUU AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI KUANDAA JEDWALI LA UTEKELEZAJI UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara. Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu…

Read More

WANAWAKE MABACHELA WAITWA KUCHUKUA FOMU YA KULIPIWA MAHARI

 Taasisi ya Al-Hikma imetangaza mpango wa kulipia mahari kwa vijana 130 walio tayari kuoa katika mwaka huu.  Akizungumza leo Machi 1, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan yaliyoandaliwa na taasisi hiyo, Mratibu wa taasisi hiyo Nurdin Sheikh Kishki amesema kuwa lengo ni kuwawezesha vijana kuingia kwenye ndoa kwa urahisi…

Read More

UAE Yasema Haitakaa Kimya Ikiwa Iran Itaendelea Kushambulia

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa, Reem Al-Hashimy. Falme za Kiarabu (UAE) zimesema hazitakaa kimya endapo Iran itaendelea kurusha makombora na droni dhidi ya nchi hiyo, alisema Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa, Reem Al-Hashimy, katika mahojiano na CNN. Akizungumza na Becky Anderson wa CNN, Al-Hashimy…

Read More

Video: Maafisa 40 wa Iran Wauawa katika Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments  Katika mashambulizi ya Jumamosi, 28 Februari 2026, yanayodaiwa kufanywa na Israel na Marekani, takriban maafisa 40 waandamizi wa Iran wameripotiwa kufariki. Miongoni mwa waliothibitishwa: Ayatollah Ali Khamenei – Kiongozi Mkuu wa Iran, aliuawa asubuhi katika ofisi yake. Abdolrahim Mousavi – Mkuu wa majeshi ya nchi, aliuawa katika…

Read More