Admin

WANANCHI MBAGALA WANASWA KWA WIZI WA UMEME TANESCO

…………….. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke limewakamata baadhi ya wateja wake katika eneo la Mbagala Zakhiem kwa tuhuma za wizi wa nishati ya umeme pamoja na uharibifu wa miundombinu, ikiwemo kuharibu mifumo ya LUKU jambo ambalo ni kinyume cha sheria na taratibu za matumizi ya umeme. Akizungumza Agosti 22, 2025 jijini Dar…

Read More

Masoud: Zanzibar inahitaji mabadiliko | Mwananchi

Dar es Salaam. Mtiania wa urais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Zanzibar inahitaji mageuzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, ambayo yanamsukuma kuwania nafasi hiyo. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo Agosti 23, 2025 alipozungumza na wahariri wa vyombo…

Read More

Hiki hapa chanzo cha ufaulu wa wanafunzi Ludewa

Njombe. Motisha kwa walimu imeelezwa kuwa chanzo cha Wilaya ya Ludewa kufanya kuongoza kwenye ufaulu wa wanafunzi matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha sita na kushika nafasi ya kwanza kimkoa kati ya wilaya zote za Mkoa wa Njombe. Hayo yamesemwa leo Agosti 23, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias wakati wa…

Read More

Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More

Uganda nayo yazifuata Kenya, Tanzania

TIMU ya Taifa ya Uganda maarufu ‘The Cranes’, imetupwa nje katika michuano CHAN 2024, baada ya kuchapwa bao 1-0 na bingwa mtetezi Senegal kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Uganda, leo Agosti 23, 2025. Katika mechi hiyo ya hatua ya robo fainali, Senegal ilipata bao hilo dakika ya 62 kupitia kwa Oumar Ba aliyepokea pasi ya…

Read More