Admin

NYAVU HARAMU ZANASWA CHATO, WAZIRI ATOA MAELEKEZO.

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetangaza azma ya kuanzisha chombo maalum kitakachosimamia rasilimali za uvuvi, lengo likiwa ni kulinda mazao yanayotokana na Ziwa Victoria dhidi ya uharibifu. Hatua hii imekuja baada ya wataalamu wa wizara hiyo waliopelekwa wilayani Chato kutoa elimu kwa vitendo, kubaini kuwepo kwa wimbi kubwa la uvuvi haramu katika eneo…

Read More

Msifanye ndoa zenu kuwa maabara

Canada. Neno maabara si geni masikioni mwa wengi. Ni mahali pa majaribio, pa kupima nadharia, kutengeneza nyenzo na kuthibitisha uhalali wa jambo kabla halijapelekwa kwenye matumizi halisi. Mara nyingi, maabara huanzishwa kwa lengo maalumu; zikishatimiza kusudi au zikishindwa kufikia malengo, hufungwa. Ni katika taasisi za kisayansi pekee ambapo maabara huendelea kuwapo kwa sababu ya asili…

Read More

Haya ndio madhara ya kukacha mikutano ya shule

Dar es Salaam. Wazazi waliobahatika kuuanza mwaka 2026 wakiwa na watoto katika hatua mbalimbali za masomo, mnapaswa kutambua kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko chanya katika ushiriki wenu, hususan katika masuala yanayohusu elimu ya watoto wenu. Ni mwaka unaopaswa kuwa wa kujitathmini na kubadili mtazamo kuhusu wajibu wa mzazi katika safari ya elimu ya mtoto….

Read More

Usikubali kupoteza mwelekeo, elekeza moyo kwa Yesu

Bwana Yesu asifiwe, karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Ninaitwa Mwalimu Erasto Maliganya kutoka mkoani Mbeya. Somo la leo ni mwendelezo wa somo lililopita ambalo lilikuwa linasema; ‘Kwa neno lako nitazishusha nyavu’. Katika injili ya Mathayo 9:20–22 tunaona habari ya mwanamke aliyekuwa anatokwa na damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Hali yake…

Read More

Majanga ya kuishi na mwenza haambiliki

Kuishi na mwenza asiyeambilika ni changamoto kubwa, inayoweza kuleta mgogoro na usumbufu katika ndoa au uhusiano. Katika maisha ya ndoa, wanandoa wanategemea na kutegemeana kwa kiasi kikubwa, lakini wakati mwingine mmoja au wote wawili wanakutana na hali ambazo hazitarajiwi.  Mmoja anaweza kuwa na tabia au mienendo ambayo inakuwa vigumu kubadilika au kukubaliana nayo, na hii…

Read More

Hataki nijishughulishe na kwetu hatoi huduma

Mume wangu ananikataza kufanya biashara ilihali hanitimizii mahitaji yangu na ya familia yangu. Yeye anasaidia kwao kadri Mungu anavyomjalia, ila mimi hanipi msaada wa moja kwa moja kwetu ndiyo maana nataka kufanya biashara. Ila ananikataza kiasi anaona amekuwa kikwazo cha kuisaidia familia yangu ambapo nilikuwa nikifanya hivyo kabla hajanioa. Nafikiria kuachana naye, kabla sijafanya hivyo…

Read More