
Asilimia 78 ya kaya nchini zina uhakika wa vyoo salama
Hanang. Kaya zenye vyoo bora nchini zimefikia asilimia 78 huku asilimia 1.2 zikiwa hazina vyoo huku katika Mkoa wa Manyara, asilimia 6.4 ya kaya zake hazina vyoo salama. Hayo yamebainishwa leo Agosti 23, 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia sekta ya afya, Profesa…