
USULUHISHI NA UAMUZI RASMI KIDIJITALI
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete, amezindua Mfumo wa Kidijitali wa usimamizi wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi unaotambulika kama “Online Case Management System” (OCMS) Leo Agosti 22,2025 jijini Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mifumo ya kieletroniki na miongozo ya…