Admin

USULUHISHI NA UAMUZI RASMI KIDIJITALI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete, amezindua Mfumo  wa Kidijitali wa usimamizi wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi unaotambulika kama “Online Case Management System” (OCMS) Leo Agosti 22,2025 jijini  Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mifumo  ya kieletroniki na miongozo ya…

Read More

INEC YAKANUSHA MADAI YA KUUNGANISHWA MFUMO WAO NA NIDA

 :::::::: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imekanusha madai yanayosambaa mitandaoni kwamba mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na chama cha siasa.  Katika taarifa yake ya Leo Jumamosi, INEC imesema madai hayo ni ya uongo na upotoshaji, ikisisitiza kuwa mfumo wa uchaguzi nchini unatumia njia za…

Read More

DKT. SAMIA AONGOZA UTEUZI CCM

 ::::::: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa, ambacho kinafanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama waliyoomba nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo na Viti Maalum leo Jumamosi Agosti 23,2025 mkoani Dodoma.

Read More

Mukrim Miranda kutimkia Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imejiondoa katika dili la beki wa TMA, Vedastus Masinde baada ya kuanza mazungumzo na Mukrim Miranda wa Dodoma Jiji. Iko hivi. Singida ilikuwa ya kwanza kumfuata Miranda, lakini baadae wakasitisha mazungumzo naye baada ya Pamba Jiji kuingilia dili hilo. Inadaiwa pia Pamba Jiji imesitisha mazungumzo na Miranda na sasa Singida imemrudia tena…

Read More

McCarthy: Kesho yetu ni bora zaidi

IKISHIRIKI kwa mara ya kwanza michuano ya CHAN 2024, timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars imeishia hatua ya robo fainali huku kocha wa kikosi hicho, Benni McCarthy akisema anaona mambo mazuri zaidi siku zijazo. Kenya iliyokuwa mwenyeji wa michuano hiyo kwa kushirikiana na Tanzania na Uganda, imepoteza mchezo wa robo fainali juzi Ijumaa kwa…

Read More

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa, ambacho kinafanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama waliyoomba nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo na Viti Maalum leo Jumamosi Agosti 23,2025 mkoani Dodoma.  

Read More

Toldo ameibeba Madagascar mabegani | Mwanaspoti

KIPA mkongwe wa Madagascar, Ramandimbisoa Lalain’arijaka Michel ‘Toldo’, amekuwa sehemu ya mafanikio ya taifa hilo baada ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024. Toldo, mwenye umri wa miaka 39 na anayekipiga klabu ya Elgeco Plus, mabingwa wa Ligi Kuu ya Madagascar na Kombe la…

Read More

CCM kuwateua wagombea ubunge, uwakilishi leo

Dar es Salaam. Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 inakutana jijini Dodoma katika kikao cha kuteua wagombea wake wa ubunge na uwakilishi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kikao hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan kinahitimisha michakato mirefu iliyoanza Juni 28, 2025 kwa shughuli…

Read More

Watiania ubunge, uwakilishi Chaumma kujulikana kesho

Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…

Read More