Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei ameuawa, televisheni ya serikali Yathibitisha
Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Taarifa kutoka Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran pamoja na vyombo kadhaa vya habari vya serikali zimethibitisha kifo cha Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, aliyekuwa na umri wa miaka 86. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Khamenei alifariki kufuatia mashambulizi ya pamoja yaliyoripotiwa kufanywa na…