Admin

DKT. SAMIA AONGOZA UTEUZI CCM

 ::::::: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa, ambacho kinafanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama waliyoomba nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo na Viti Maalum leo Jumamosi Agosti 23,2025 mkoani Dodoma.

Read More

Mukrim Miranda kutimkia Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imejiondoa katika dili la beki wa TMA, Vedastus Masinde baada ya kuanza mazungumzo na Mukrim Miranda wa Dodoma Jiji. Iko hivi. Singida ilikuwa ya kwanza kumfuata Miranda, lakini baadae wakasitisha mazungumzo naye baada ya Pamba Jiji kuingilia dili hilo. Inadaiwa pia Pamba Jiji imesitisha mazungumzo na Miranda na sasa Singida imemrudia tena…

Read More

McCarthy: Kesho yetu ni bora zaidi

IKISHIRIKI kwa mara ya kwanza michuano ya CHAN 2024, timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars imeishia hatua ya robo fainali huku kocha wa kikosi hicho, Benni McCarthy akisema anaona mambo mazuri zaidi siku zijazo. Kenya iliyokuwa mwenyeji wa michuano hiyo kwa kushirikiana na Tanzania na Uganda, imepoteza mchezo wa robo fainali juzi Ijumaa kwa…

Read More

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa, ambacho kinafanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama waliyoomba nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo na Viti Maalum leo Jumamosi Agosti 23,2025 mkoani Dodoma.  

Read More

Toldo ameibeba Madagascar mabegani | Mwanaspoti

KIPA mkongwe wa Madagascar, Ramandimbisoa Lalain’arijaka Michel ‘Toldo’, amekuwa sehemu ya mafanikio ya taifa hilo baada ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024. Toldo, mwenye umri wa miaka 39 na anayekipiga klabu ya Elgeco Plus, mabingwa wa Ligi Kuu ya Madagascar na Kombe la…

Read More

CCM kuwateua wagombea ubunge, uwakilishi leo

Dar es Salaam. Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Jumamosi, Agosti 23, 2025 inakutana jijini Dodoma katika kikao cha kuteua wagombea wake wa ubunge na uwakilishi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kikao hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan kinahitimisha michakato mirefu iliyoanza Juni 28, 2025 kwa shughuli…

Read More

Watiania ubunge, uwakilishi Chaumma kujulikana kesho

Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…

Read More

Wasichana milioni mbili wanufaika na elimu ya stadi za maisha

‎Dodoma. Takribani wasichana milioni mbili wanaosoma elimu ya sekondari wamenufaika na mradi wa kuwawezesha kumaliza elimu yao bila vizuizi baada ya kupata elimu ya stadi za maisha iliyowawezesha kufikiria kabla ya kufanya uamuzi. ‎Aidha, elimu hiyo imesaidia wasichana wanaosoma sekondari kutoka mikoa ya Morogoro, Tanga, Pwani na Dar es salaam kupunguza utoro kutoka asilimia saba…

Read More

AAFP itakavyoimarisha utii wa Katiba, utawala bora

Moshi. Katika eneo ambalo limekuwa na mijadala kupitia vyombo vya asili vya habari na mitandao ya kijamii ni suala la utawala bora na utii wa Katiba na kwa kutambua hilo, Chama cha Wakulima (AAFP), kimeliingiza suala hilo katika ilani yake ili kulipatia mwarobaini. Katika nchi zinazofuata misingi ya utawala bora, Katiba ndiyo mamlaka ya juu…

Read More

MALEZI BORA YA WATOTO KUANZIA UMRI WA AWALI

Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) ni miongoni mwa vyuo bora ambavyo vinatoa wataalamu mbalimbali wanaoisaidia jamii kutoka katika changamoto kwa kuleta suluhu hasa za kisaikolojia.  Katika kuendelea kuhudumia jamii na kuifanya kuwa bora zaidi, Chuo hicho kimeanzisha program nyingine nne mpya katika mwaka wa masomo wa 2025 /2026. Program hizo zinalenga katika kuongeza wigo…

Read More