TEA Yasisitizwa Kufanya Kazi Kwa Kuzingatia Miongozo na Sheria
……. Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam SERIKALI imekitaka Chama cha Wataalamu na Wadau wa Nishati nchini (TEA) kufanya kazi kwa kuzingatia miongozo, sera na taratibu zinazoandaliwa na serikali katika sekta ya nishati. Akizungumza Februari 2026 jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, mwakilishi wa wizara hiyo, Emilian Nyanda,…